Msaada: Nilishinda betting kampuni ya Premier Bet ya online lakini mpaka sasa hawajanilipa

ndege joni

JF-Expert Member
May 23, 2017
682
1,108
Mnamo siku ya ijumaa tar 7/9/2018 nilibet kwa premier bet online nikaweka dau la 3000/= kesho yake nikakuta nimeshinda 20,640/= nikawajulisha hawajanijibu mpaka leo na pesa hawajanitumia. Taratibu na kanuni za hawa watu zikoje? Maana hapa hata kodi ya serikali wameiba
 
Mnamo siku ya ijumaa tar 7/9/2018 nilibet kwa premier bet online nikaweka dau la 3000/= kesho yake nikakuta nimeshinda 20,640/= nikawajulisha hawajanijibu mpaka leo na pesa hawajanitumia. Taratibu na kanuni za hawa watu zikoje? Maana hapa hata kodi ya serikali wameiba
nenda kwenye ofisi zao karikoo sokoni kule karbu na kcb bank nafikir
 
Sasa watakutumiaje wakati hujatoa( withdraw)? Kwa maelezo yako hapo juu pesa yako unayo kwenye wallet sasa unategemea itoke bila kuitoa?
Nimedraw ila mpaka leo haijafika kwenye mpesa yangu
 
Mnamo siku ya ijumaa tar 7/9/2018 nilibet kwa premier bet online nikaweka dau la 3000/= kesho yake nikakuta nimeshinda 20,640/= nikawajulisha hawajanijibu mpaka leo na pesa hawajanitumia. Taratibu na kanuni za hawa watu zikoje? Maana hapa hata kodi ya serikali wameiba
Soma maelekezo,kabla hujaja kuharibia watu biashara.kama uko makini ungeona kabla hujawaita watu wezi
 
Mleta Uzi umeshinda bet???
Basi fanya "ujibebe bebe!,oya jibebe bebe! Embu jibebe bebe! Si ujibebe bebee!
 
Back
Top Bottom