Msaada: Niligundulika na tatizo la vidonda vya tumbo, dozi niliyopewa imeisha lakini sijapata nafuu

DryEyes

JF-Expert Member
Feb 6, 2014
228
272
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
 
Hospital nilioenda ni kubwa labda nibadilishe hospital sasa.
Anayetibu ni daktari na sio hospitali.

Unaweza kwenda hospitali ya maana ukakutana na dokta wa hovyo,au daktari akawa na maarifa ambayo hayakuutambua huo ugonjwa vizuri.

So ni vizuri kubadili hospitali uone madokta tofauti..
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Kula vyakula vya alkaline. Msome sana dokta sebi na lishe
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Nikupe tiba ya kienyeji? Malipo ni Tsh 50,000/= baada ya kupona😅😅
 
Back
Top Bottom