Njoo mzumbe soma bhsm bhrm blgm BPANdg,wanaJF heshima kwenu popote pale mlipo naomba msaada wenu hivi ni kozi gani ambayo naweza kusoma ambayo ajira yake inapatikana kwa urahisi , nimesoma HGK nilitaka kusoma ualimu lakini naona huko tuendako arts hakuna soko tena, msaada wenu tafadhali, si vibaya mkanielezea kazi ambazo naweza fanya baada ya kusoma kozi hiyo tafadhali.
Utawasaidia zaidi kwa kuandika programs hizo kwa kirefu.Njoo mzumbe soma bhsm bhrm blgm BPA
Huo ni ushaur mzur kwa vijana wanaojiunga na chuo this yearWalimu hawatatosheleza unless otherwise uwe incompetent. Serikali ikisitisha ajira kwa walimu,shule nyingi za private zitaendelea kuanzishwa na kuhitaji walimu wengi. Kasome Ualimu.