MSAGA SUMU JF-Expert Member May 25, 2015 6,661 21,639 Mar 2, 2016 #1 Jamani wiki nitakuwa Ngara nilikuwa nataka kuuliza nauli ni kiasi, nahitaji documents gani ili kuingia na je naweza kwenda na kurudi,msaada tafadhari
Jamani wiki nitakuwa Ngara nilikuwa nataka kuuliza nauli ni kiasi, nahitaji documents gani ili kuingia na je naweza kwenda na kurudi,msaada tafadhari
kagombe JF-Expert Member Mar 1, 2015 3,615 1,805 Mar 2, 2016 #2 nenda ofice za Taqwa bus ata ukitaka kusafiri kesho fast
jimmy jay jay JF-Expert Member May 19, 2015 223 39 Mar 2, 2016 #3 unaweza sana na kufika kigali ni kama elfu kumi na tano,ukifika mpakani unaweza ukaomba pass ya dharula cha msingi peleka picha mbili na sh elfu kumi na cheti cha kuzaliwa
unaweza sana na kufika kigali ni kama elfu kumi na tano,ukifika mpakani unaweza ukaomba pass ya dharula cha msingi peleka picha mbili na sh elfu kumi na cheti cha kuzaliwa