Msaada: nahitaji router ya kuweza kuwabana watumiaji kwenye speed na MB.

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,386
5,440
Speed - niweze kuseti speed ya juu kwa kila mtumiaji, mfano asivuke speed ya kudonload MB 1 kwa dakika

MB - iwe kama tunavyonunua mabando ya MB kwenye mitandao ya simu, ukimaliza MB connection inakata.
 
Kwenye Router ya Halotel niliona hiyo option ila max size yake haizidi watu 10
 
Easy to setup TP link kaka, mikrotik iko deep you need kuwa mtaalam kidogo
Tp link unaweza set hizo speed limits kiurahis kabisa
Kila mtu anajua kitu fulani kwake kinakuwa easy lakini sio easy kwa wengine, hata wewe unaesema ni easy kuna baadhi ya vitu huvijui ambavyo kwetu na wengine ni easy,

Tafadhali jaribu kutoa ushauri kwa namna ambayo inaweza kutufungua macho tusiojua kwa undani hayo mambo ya tp link, ni kifaa cha aina ipi cha hio tp link kinahitajika ikipendeza chenye urahisi zaidi wa kuseti
 
Kila mtu anajua kitu fulani kwake kinakuwa easy lakini sio easy kwa wengine, hata wewe unaesema ni easy kuna baadhi ya vitu huvijui ambavyo kwetu na wengine ni easy,

Tafadhali jaribu kutoa ushauri kwa namna ambayo inaweza kutufungua macho tusiojua kwa undani hayo mambo ya tp link, ni kifaa cha aina ipi cha hio tp link kinahitajika, baada ya kununua unafanya nini ili kuseti
Alright ngoja ni simplify mambo, namaanisha hiki kifaa
 

Attachments

  • IMG_1955.jpeg
    IMG_1955.jpeg
    369.3 KB · Views: 2
Alright ngoja ni simplify mambo, namaanisha hiki kifaa
Kinaingia line zote
Na wakati wa conguration ni rahisi

  • washa kwa kubonyeza button ya on
  • connect to wifi inayo display kutoka kwenye hiko kifaa
  • open google chrome type 192.168.0.1, enter
  • itakupeleka kwenye interface ya kuanzia
(Kama huja set password utaset)
Zingine zina kuja pre configured password ( admin, admin)
Ukisha login tafuta setting inaitwa bandwidth control
From there utaset limit
 
Kinaingia line zote
Na wakati wa conguration ni rahisi

  • washa kwa kubonyeza button ya on
  • connect to wifi inayo display kutoka kwenye hiko kifaa
  • open google chrome type 192.168.0.1, enter
  • itakupeleka kwenye interface ya kuanzia
(Kama huja set password utaset)
Zingine zina kuja pre configured password ( admin, admin)
Ukisha login tafuta setting inaitwa bandwidth control
From there utaset limit
Hicho kifaa TP LINK M7000 niliwahi kukitumia lakini sikuweza gundua kuna sehemu ya kubana speed au kubana MB, nilicheki video za youtube ila sikufanikiwa, Naomba ufafanuzi zaidi ni option ipi inatumika ?
 
Kwa router hizi za matumizi ya kawaida haitawezekana, kazi ya kupima na kuzuia matumizi sio rahisi.
Itabidi uende kwenye commercial routers kama Ubiquity au utumie firewall kama pFSense hii ni device au computer nyingine ambayo itabidi ikae kati ya router na internet ili kufanya hiyo kazi.

Tatizo linginei kuwa hii ni issue ya kibongo bongo zaidi, watengenezaji router wanataka kuongeza spidi sio kupunguza so lazima ujihakikishie ni nini exactly unataka na kama kifaa kitakufaa kabla ya kununua Desktop Appliances pia utaona configuration yake sio simple sana [pfSense] Limit maximum bandwidth per user with Limiters – Provya
 
Hamjamwelewa nyie wote, yeye anatakansio kupunguza speed yeye anataka kila user awe na kiasi cha mb kadhaa kikiisha basi user flani hataweza kupata internet.
Setup ya hivi niliwahiona hotel moja bangarole kila jion tunaporudi ukipewa funguo unapewana kikaratasi kina namba unaingiza kwenye wifi password kinakuwa na mb500 ambazo utatumia kwa siku nzimaa hadi kesho yake jioni, ukimesup zikaisha wewe peke yako unakosa internet wengine wanakuwa nayo
 
Back
Top Bottom