beckygeorge
New Member
- Jul 7, 2024
- 4
- 0
Jamani wakuu mimi ni mhitimu wa diploma nahitaji kuendelea kusoma bachelor lakini siwezi kuendelea bila kupata AVN kutoka NACTEVET.
Tangu mwezi wa 7 nimelipia sh 15,000/= ili kupata lakini mpaka saivi sms ya GEPG ipo inasema nimelipia lakini NACTE wamekua wakinitumia control number nyingine nilipie nikienda ofisini kwao naishia kuandika shida yangu kwenye daftari na kuambiwa niondoke.
Siku zimeisha hata mkopo dirisha litafungwa na sitaweza kusoma bila mkopo. Hali ni duni kwetu. kila week naenda ofisi za NACTEVET hakuna huduma ya maana nayopewa tena naambiwa wenyewe hawana shida ila shida ipo kwenye mifumo ya malipo ya serikali.
Tangu mwezi wa 7 nimelipia sh 15,000/= ili kupata lakini mpaka saivi sms ya GEPG ipo inasema nimelipia lakini NACTE wamekua wakinitumia control number nyingine nilipie nikienda ofisini kwao naishia kuandika shida yangu kwenye daftari na kuambiwa niondoke.
Siku zimeisha hata mkopo dirisha litafungwa na sitaweza kusoma bila mkopo. Hali ni duni kwetu. kila week naenda ofisi za NACTEVET hakuna huduma ya maana nayopewa tena naambiwa wenyewe hawana shida ila shida ipo kwenye mifumo ya malipo ya serikali.