Msaada: Mbinu zipi zitumike kumzuia nyoka kuingia ndani?

Iron Lady

JF-Expert Member
Mar 4, 2008
4,071
1,374
Habari wadau,

Je ni mbinu zipi nitumie zitakazowatisha au kuwafanya nyoka wasikaribie nyumba yangu na uzio kwa ujumla.

Kwa wale wenzangu tuliojenga nje ya miji hili ni tatizo ambalo watakuwa washakumbana nalo.

Nisaidieni tafadhali
CC@Mshana Jr
CC@Mzizi Mkavu
 
Mwagia disel au oil chafu i think that's a solution kwa ninavyojua


I used that technic several times siku moja nilimwagia hayo mafuta kwenye matofari ambapo walifanya kuwa makazi yao lakini a week later nikamkuta nyoka amelala usingizi hapo kwenye hayo matofari, siku nyingine nililoweka gunia kwenye oil chafu nikalitandika kwenye mlango wa banda la kuku, cha kushangaza alipenya chini ya huohuo mlango akaingia na kula mayai ndani.
 
Tumia matunda ya mti mmoja kutoka Botswana unaitwa MALULA kamua maji yake zungushia katika ukuta wa nyumba.
 
Mwagia mafuta ya taa mlangoni. Ngoja yoyote hawezi kuongia ndani coz yanamkatakata Yale. But kwa eneo.lako kwa ujumla toa miti inayovutia nyoka kama miembe migomba nk panda miarobaini uwanjani kwako ina harufu nyoka hawaipendi kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…