Fanya kwanza hiyo test rahisi uliyoshauriwa hapo juu kabla hata ya kumwita fundi.
~zima main switch halafu record unit zilizopo.
~baada ya masaa 2 au 3 record unit tena
~linganisha units, kama zimepungua mtafute fundi.
~kama ziko vilevile kuna mawili kwamba fridge yako inatumia umeme mwingi au meter inahitaji kuangaliwa na tanesco.
Je, fridge yako ina watts ngapi?