msaada liti mpwapwa!

the horticulturist

JF-Expert Member
Aug 24, 2012
1,959
1,907
Naomba kujuzwa gharama ada na mahitaji mengine kwa mwaka 2013/14 kwa mwenye ufadhili wa serikali level ya elimu diploma!
Thnx in advance
 
kwenye fomu ya maombi kulikua na analysis ya fee structure iliyoeleza kila k2,we ulchkua form gan?
 
kwenye fomu ya maombi kulikua na analysis ya fee structure iliyoeleza kila k2,we ulchkua form gan?

Kwenye form niliyotumia mm nilichukua chuo cha kilimo tengeru na hakukuwa na sehemu ya fee kabisa au labda ilikuwepo ila mm kama mm ckuiona ngoja zile form bado ziko net nafanya review now
 
yes,rafk yang amemalza mpwapwa mwaka huu kanambia wale govonment sapoted wanajtegemea chakuka tu
 
iko hivi, kwa wale wenye ufadhili wa serikali wanalipa gharama za chakula kama ifuatavyo;-
1st year ni tsh 1,102,000.
2nd year ni tsh 850,000.
na inalipwa kwa mikupuo miwili yaani nusu nusu.
 
Mbona hawatoi list ya watu walioaply kwa mwaka huu wa masomo? Na huwa wanatoaje ni kupitia posta ama kwenye magazeti! Msaada mkuu.
 
iko hivi, kwa wale wenye ufadhili wa serikali wanalipa gharama za chakula kama ifuatavyo;-
1st year ni tsh 1,102,000.
2nd year ni tsh 850,000.
na inalipwa kwa mikupuo miwili yaani nusu nusu.
Okay nilikua napata mawazo ya boots and coats malazi,hvyo ndio vitu muhimu ndg
 
Back
Top Bottom