donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,123
- 21,871
Salam wakuu,
Straight to the point,naomba msaada kwa wataalam wa Sound engineering na production, Niko maeneo ya bunazi mkoa wa kagera na baada ya utafiti wa kina nikagndua kwamba kuna changamoto kubwa ya studio za wasanii kurekodia kazi zao.
Hivyo naomba ushauri wa kitaalamu je ni computer ya aina gani na yenye soundcard ipi itafaa, mic, mixer and everything needed to setup a recording studio. Naomba pia outline ya gharama zake (nothing fancy, just a simple studio kwa kuanzia) niweze kujipanga.
Eneo nimeshapata bado mchakato wa ujenzi wa studio yenyewe ila ningependa kufahamu gharama za kusetup studio mpaka ikamilike. Pia kama Mambo yakienda vyema nitahitaji mtu anayeweza kugonga beats na kufanya vocals and mixing ili tuweze kufanya kazi.
Shukrani in advance
Straight to the point,naomba msaada kwa wataalam wa Sound engineering na production, Niko maeneo ya bunazi mkoa wa kagera na baada ya utafiti wa kina nikagndua kwamba kuna changamoto kubwa ya studio za wasanii kurekodia kazi zao.
Hivyo naomba ushauri wa kitaalamu je ni computer ya aina gani na yenye soundcard ipi itafaa, mic, mixer and everything needed to setup a recording studio. Naomba pia outline ya gharama zake (nothing fancy, just a simple studio kwa kuanzia) niweze kujipanga.
Eneo nimeshapata bado mchakato wa ujenzi wa studio yenyewe ila ningependa kufahamu gharama za kusetup studio mpaka ikamilike. Pia kama Mambo yakienda vyema nitahitaji mtu anayeweza kugonga beats na kufanya vocals and mixing ili tuweze kufanya kazi.
Shukrani in advance