Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,007
Waungwana habari za asbh,
Naomba kujua kama kuna mtu amewahi kukopa mkopo kutoka Cash X ambayo ni application iliyopo on line.
Naomba kujua kwnye interest zao zinakuaje na sio wahuni kama wahuni wengne wanavyofanya kuwatapeli watu? Ni hayo tu waungwana.
Naomba kujua kama kuna mtu amewahi kukopa mkopo kutoka Cash X ambayo ni application iliyopo on line.
Naomba kujua kwnye interest zao zinakuaje na sio wahuni kama wahuni wengne wanavyofanya kuwatapeli watu? Ni hayo tu waungwana.