Rais Wa Malofa
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 683
- 782
Habari za Mihangaiko wandugu,
Nimekuwa nikisikia shuhuda mbalimbali toka kwa watu kuhusu Bima Kubwa ya Gari ila nimeshindwa kupata muunganikano mzuri wa faida na hasara za Hii Bima.
Je, ni kweli ukiwa na Hii Bima Kubwa Gari yako ikipata ajali au tatizo Kubwa unalipwa na shirika la Bima uliloingia nalo mkataba?
Je, hakuna usumbufu wowote pindi Gari yako ikipata tatizo na ukahitaji kulipwa (endapo wanalipa Kama wanavyojinadi)?
Naomba kwa yeyote mwenye Uelewa na hizi Bima Kubwa za Gari anieleweshe kabla sijajitosa.
Natanguliza Shukrani.
Nimekuwa nikisikia shuhuda mbalimbali toka kwa watu kuhusu Bima Kubwa ya Gari ila nimeshindwa kupata muunganikano mzuri wa faida na hasara za Hii Bima.
Je, ni kweli ukiwa na Hii Bima Kubwa Gari yako ikipata ajali au tatizo Kubwa unalipwa na shirika la Bima uliloingia nalo mkataba?
Je, hakuna usumbufu wowote pindi Gari yako ikipata tatizo na ukahitaji kulipwa (endapo wanalipa Kama wanavyojinadi)?
Naomba kwa yeyote mwenye Uelewa na hizi Bima Kubwa za Gari anieleweshe kabla sijajitosa.
Natanguliza Shukrani.