Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 666
- 981
Nilikuwa napata kero ya matangazo online..katika kupekuwa nimekutana na hiyo kitu nikaiweka kwenye setting kama yanavyoelekeza maelekezo naona matangazo sipati tena kwenye zile sites zote ambazo nilikuwa napata kero hiyo..je nauliza pamoja na kwamba matangazo hayaji ipi hasara ya kusett hivyo..yan risk za kusett hivyo ni zipi japo imezuia kweli hayo matangazo?