Habari!
Naomba mnisaidie kupata jina zuri la shule.
Shule ni ya sekondari kuanzia O'level mpaka A'level,dini zote (non-denominational),jinsia zote (co-ed),kutwa na bweni na ipo Bagamoyo mkoa wa Pwani.
Midevu high school
'casbias' maana yake ni nini?
Ipe jina la mzazi wako kati ya baba au mama au ikiwezekana unganisha jina la baba na mama, mfano baba anaitwa ALEX na mama anaitwa MARIA, utaiita ivi ALEMAR SEC SCHOOL, hii kuenzi juhudi za waliokuleta duniani na kukulea vizuri mpaka ukafika atua hiyo