Milonji
Senior Member
- May 26, 2022
- 166
- 510
Wapendwa habari?
Naangalia hapa kupitia ZBC Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Daktari Hussein Ali Mwinyi akiwa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirizi Pemba.
Mh. Raisi anapata burudani kutoka vikundi mbalimbali huku pembeni yake akiwa na Mke wake.
Kilichonishangaza ni kuona mara nyingi Mke wa Mh. Raisi akiwa busy na Simu.
Watu wa protocol naomba kuuliza, Je hili linaruhusiwa?.
Naangalia hapa kupitia ZBC Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Daktari Hussein Ali Mwinyi akiwa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirizi Pemba.
Mh. Raisi anapata burudani kutoka vikundi mbalimbali huku pembeni yake akiwa na Mke wake.
Kilichonishangaza ni kuona mara nyingi Mke wa Mh. Raisi akiwa busy na Simu.
Watu wa protocol naomba kuuliza, Je hili linaruhusiwa?.