Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,498
- 7,065
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo amembana maswali mawili madogo ya nyongeza Naibu Waziri Ofisi ya Rais (Tamisemi), Mhe. Dk. Festo Dugange kama yopo tayari kujiuzulu endapo ujenzi wa stendi maeneo ya Bondeni City jimboni kwake hautaanza mpaka ifikapo Mei, 2025.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akijibu swali hilo bungeni jijini Dodoma leo Aprili 15, 2025, Mhe. Dugange alimhakikishia Gambo kuwa stendi hiyo itajengwa na kilichochelewesha ni taratibu za manunuzi kwani zabuni ilitangazwa wazabuni walipatikana lakini hawakukidhi vigezo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akijibu swali hilo bungeni jijini Dodoma leo Aprili 15, 2025, Mhe. Dugange alimhakikishia Gambo kuwa stendi hiyo itajengwa na kilichochelewesha ni taratibu za manunuzi kwani zabuni ilitangazwa wazabuni walipatikana lakini hawakukidhi vigezo.