bbc JF-Expert Member Jan 18, 2016 3,836 4,146 Mar 3, 2016 #1 Niliwahi kusoma magazetini siku za nyuma kuhusu ujenzi wa njia ya treni (reli) ya chini kwa chini Stesheni (karibu na central police- Dar) mpaka uwanja wa ndege wa JNIA ili kuwahi airport. Kwa anayejua, hivi huu mradi upo kweli?
Niliwahi kusoma magazetini siku za nyuma kuhusu ujenzi wa njia ya treni (reli) ya chini kwa chini Stesheni (karibu na central police- Dar) mpaka uwanja wa ndege wa JNIA ili kuwahi airport. Kwa anayejua, hivi huu mradi upo kweli?