Mpina na Gwajima ondokeni CCM mapema

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
8,054
11,274
Hawa ni watu wawili ambao wanaweza kuondoka CCM na maisha yao yakabaki kama yalivyo sasa.


1. Hawapendi yanauoendelea ndani ya CCM wala serikali
2. Vipato vyao havitegemei serikali

Gwajima ni kama Ndesamburo ambaye biashara zake za utalii serikali ilishindwa kuzihujumu. Gwajima pesa yake inatokana na sadaka na makanisa ya nje yanayo mpa pesa. Ameshaweka pesa za kutosha nje na kila siku anapata pesa zaidi na zaidi. Kwanza siku hizi ndiyo anaficha pesa kuliko hata zamani. Mpina ana makampuni ya kusafisha pamba makubwa. Hawa wawili sitashangaa wakiondoka CCM! Kikubwa ni lini?

Nawashauri watasaidia zaidi nchi upande wa wapinzani kuliko huko kwa wapigaji
 
Hawa ni watu wawili ambao wanaweza kuondoka CCM na maisha yao yakabaki kama yalivyo sasa.


1. Hawapendi yanauoendelea ndani ya CCM wala serikali
2. Vipato vyao havitegemei serikali

Gwajima ni kama Ndesamburo ambaye biashara zake za utalii serikali ilishindwa kuzihujumu. Gwajima pesa yake inatokana na sadaka na makanisa ya nje yanayo mpa pesa. Ameshaweka pesa za kutosha nje na kila siku anapata pesa zaidi na zaidi. Kwanza siku hizi ndiyo anaficha pesa kuliko hata zamani. Mpina ana makampuni ya kusafisha pamba makubwa. Hawa wawili sitashangaa wakiondoka CCM! Kikubwa ni lini?

Nawashauri watasaidia zaidi nchi upande wa wapinzani kuliko huko kwa wapigaji
Unafikiri wao hawana akili kama wewe?!!!
 
Nje ya CCM watapotea. Siasa za upinzani sio nyepesi.
Wajiulize wanatafuta nini hasa kwenye siasa. Gwajima kila siku anakosoa mambo pesa anayo sasa tatizo ni nini kuweka mapenzi ya kinafiki
 
Back
Top Bottom