ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,458
- 50,999
Kuna hii tabia ya wajawazito kula udongo na watoto kula mchanga huwa sipendi sana kuona wazazi wanawaachia watoto kula mchanga wengi wetu nadhani hatujui madhara yake. Kwanza kuna kupata maambukizi ya vimelea maana kwenye udongo kuna bacteria wengi, kama mtoto anaweza pia kukabwa au kupaliwa na mchanga, unaweza ukala sumu au utumbo ukajifunga ndani huko.
Kwanini ule vitu visivyo chakula, kama vile uchafu na vitu hatari. Nyie wanawake mnashindwaje kuacha kula udongo wa pemba. Wengine wanatafuna chaki, makamasi,sabuni, nywele, makaratasi wengine Mpaka vinyesi hii sasa si itakuwa ni kama ugonjwa wa akili..
Mara nyingi chanzo chake huwa ni ukosefu wa Madini ya zinc, vitamin b12, na chuma ambayo unatakiwa uyapate kwenye Lishe ya vyakula vifuatavyo samaki,samaki chaza, spinach, karanga, matikiti, matango, maziwa, mayai n.k..
Kwanini ule vitu visivyo chakula, kama vile uchafu na vitu hatari. Nyie wanawake mnashindwaje kuacha kula udongo wa pemba. Wengine wanatafuna chaki, makamasi,sabuni, nywele, makaratasi wengine Mpaka vinyesi hii sasa si itakuwa ni kama ugonjwa wa akili..
Mara nyingi chanzo chake huwa ni ukosefu wa Madini ya zinc, vitamin b12, na chuma ambayo unatakiwa uyapate kwenye Lishe ya vyakula vifuatavyo samaki,samaki chaza, spinach, karanga, matikiti, matango, maziwa, mayai n.k..