Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,093
- 5,587
Wakuu,
Yaani mpaka Oktoba inafika tutaona zawadi na manjonjo mengi kutoka kwa hawa wanasiasa.
Hii ni rushwa au zawadi?
=====================================================
Meya Mstaafu wa Manispaa ya Moshi na Diwani wa Kata ya Boma Mbuzi Juma raibu, ametoa sapoti ya magari 10 kusaidia wanawake kufika Jijini Arusha kushiriki siku ya wanawake Duniani.
Yaani mpaka Oktoba inafika tutaona zawadi na manjonjo mengi kutoka kwa hawa wanasiasa.
Hii ni rushwa au zawadi?
=====================================================
Meya Mstaafu wa Manispaa ya Moshi na Diwani wa Kata ya Boma Mbuzi Juma raibu, ametoa sapoti ya magari 10 kusaidia wanawake kufika Jijini Arusha kushiriki siku ya wanawake Duniani.