MONUSCO yaanza kukimbilia Rwanda

Twin_Kids

JF-Expert Member
Feb 25, 2016
3,686
5,639
Baada ya kuzuia matumizi ya anga kwa ndege za kijeshi za DRC, badae M23 ilisema hata UN hairuhusiwi kutumia uwanja huo wa Goma.

Taarifa ziliwafikia viongozi wa Umoja wa mataifa kwenye kikao cha dharula huko New York, na kutangaza kwamba wamezingilwa na uwanja hautumiki.

Uwanja huo uliopo mpakani mwa Rwanda na Congo. UN imeiomba Rwanda kupokea wanajeshi wake na vifaa vyao, na moja kwa moja wengi wao wakaanza kuelekea Rwanda, huku wakiacha SAMIDRC, Burundi, FARDC na Wazalendo nyuma.

Taarifa zinadai mpaka sasa, Afrika kusini imepoteza tena wanajeshi wengine, huku magari yao ya kivita yakiharibiwa vibaya na M23.
 
Baada ya kuzuia matumizi ya anga kwa ndege za kijeshi za DRC, badae M23 ilisema hata UN hairuhusiwi kutumia uwanja huo wa Goma.

Taarifa ziliwafikia viongozi wa Umoja wa mataifa kwenye kikao cha dharula huko New York, na kutangaza kwamba wamezingilwa na uwanja hautumiki.

Uwanja huo uliopo mpakani mwa Rwanda na Congo. UN imeiomba Rwanda kupokea wanajeshi wake na vifaa vyao, na moja kwa moja wengi wao wakaanza kuelekea Rwanda, huku wakiacha SAMIDRC, Burundi, FARDC na Wazalendo nyuma.

Taarifa zinadai mpaka sasa, Afrika kusini imepoteza tena wanajeshi wengine, huku magari yao ya kivita yakiharibiwa vibaya na M23.
M23 ni wanaume kweli kweli
 
Vipi kuhusu lsrael na Palestine vita vyao tutaviitaje? Majibu tafadhali
Hizi vita zote unazoziona hazipo hapo Kwa bahati mbaya hata kidogo, vita hizi zilipangwa na watu wenye nguvu kubwa duniani Kwa malengo wanayo taka wao, na wao pekee ndio wenye uwezo wa kuamua viishe au viendelee mpaka hapo jibu unalo.
 
Back
Top Bottom