Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,229
Asante kwa kusoma na kuamua kufanyia kazi.Good idea galacha...ntafanyia kazi
Asante kwa kusomaAsante sana mkuu...nazani na mm nilikuwa kundi ulilolitolea ushauri.
Asante kwa maoni.Mzee Es,
Nakubaliana na wewe, hii inaonyesha wazi watu hawaelewi na wala hawatakuja elewa maana. Tunachozungumzia hapa. masanfuku kukaa kituo cha polisi kwa siku mbili hali matokeo yanatakiwa kutangazwa usiku huohuo!
Je CUF walifanya nini kuhakikisha masanduku hayo yanahesabiwa na kwa nini mahakama haikuhusishwa?... mtasema katiba haisemi hivyo ama nguvu ya dola!
Bado jibu lahoja hii ambayo ni upande wa pili wa sarufi hii.
Head:- inasema maonezi ya CCM
Sisi sote tunakubali na ili tupate thamani ya hii sarufi tutazame upande wa pili?
Tail:- Wapinzani ni Kivuli kama alivyosema Ogah ktk hoja zake mbili hapo juu.
Hamkubaliani na picha hii hali dhahiri inaonyesha wazi kwamba bila marekebisho hakuna ushindi.
Asante kwa kusoma.Mzee Es,
Nakubaliana na wewe, hii inaonyesha wazi watu hawaelewi na wala hawatakuja elewa maana. Tunachozungumzia hapa. masanfuku kukaa kituo cha polisi kwa siku mbili hali matokeo yanatakiwa kutangazwa usiku huohuo!
Je CUF walifanya nini kuhakikisha masanduku hayo yanahesabiwa na kwa nini mahakama haikuhusishwa?... mtasema katiba haisemi hivyo ama nguvu ya dola!
Bado jibu lahoja hii ambayo ni upande wa pili wa sarufi hii.
Head:- inasema maonezi ya CCM
Sisi sote tunakubali na ili tupate thamani ya hii sarufi tutazame upande wa pili?
Tail:- Wapinzani ni Kivuli kama alivyosema Ogah ktk hoja zake mbili hapo juu.
Hamkubaliani na picha hii hali dhahiri inaonyesha wazi kwamba bila marekebisho hakuna ushindi.
Asante kwa kuipitia.Good idea galacha...ntafanyia kazi
Asante kwa maoni yako mazuri.hiyo ni principle juu sana katika maisha,kila kitu unachohitaji katika maisha yako ni muhimu sana lakini huwezi kupata vyote kwa pamoja,so lazima kimoja kitangulie kabla ya kingine kufuata.mfano unahitaji gari,nyumba,mke/Mme bomba etc,lazima uanze na kimoja then kingine then kingine
Asante kwa kusoma.Kauli mbiu ya serikali ya JK ni Big Results Now
Aisee kweli mkuu.MOJA NI BORA KULIKO SIFURI
Watu wengi wamekuwa wakiweka mipango mizuri na mikubwa sana kwenye maisha yao. Ila katika utekelezaji hujikuta wanakwama.
Chanzo kikubwa cha kukwama huwa ni kutaka kufanya mambo hayo yote makubwa kwa wakati mmoja au kwa muda mfupi.
Lakini haijawahi kutokea sehemu yoyote kwenye maisha yetu mambo yakaenda haraka kama tunavyotarajia. Kila kitu kinahitaji muda.
Sasa leo nataka nikushirikishe mbinu ambayo itakusaidia kuanza safari yako ya kufikia mipango mikubwa uliyojiwekea bila ya kukata tamaa.
Mbinu hiyo ni kuwa na dhana kwamba MOJA NI BORA KULIKO SIFURI.
Ndio moja ni bora kuliko sifuri kwenye namba, na hata kwenye maisha hali iko hivyo hivyo.
Unataka kuanza biashara kubwa sana, lakini huwezi kuanzia juu, anza na mteja mmoja, ni bora kuliko kusubiri.
Ukishapata mteja mmoja endelea kuongeza mwingine mmoja na mmoja tena na tena na tena. Hii ni bora kuliko kutokufanya chochote kwa kusubiri mambo yawe mazuri.
Unataka kuandika kitabu, huwezi kuandika chote ndani ya siku moja.
Anza na dhana kwamba moja ni bora kuliko sifuri.
Na kila siku andika sura moja ya kitabu.
Kama sura moja ni ndefu sana andika ukurasa mmoja, kisha endelea kuongeza moja kila siku. Itafika siku kitabu kitakuwa kimekamilika.
Unataka kuanza kufanya mazoezi, huwezi kuanza kwa kukimbia kilometa moja au zaidi ya hapo. Utachoka na kukata tamaa.
Lakini unaweza kuanza na kutembea hatua chache, au kupiga push up chache, au kuruka kamba.
Moja ni bora zaidi ya sifuri.
Asante kwa kusoma.Aisee kweli mkuu.
Asante kwa kusomaHaswaaaa