Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,495
- 8,816
Hayo mafumbo na vijembe unampiga nani?Wengi humu humu walitabiri nani angekuwa makamu wa rais wakimtaja hata Dk Bashiru Ally. Wengine walisema wazi waligemea mhe Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa atupwe. Haiwi haiwi huwa. Sijui mnajisikiaje ambao watu wenu wametoswa? Ni swali tu.
Hakuna fumbo wala vijembe. Ndivyo nionavyo. Huenda ni kwa sababu mimi ni mwanafalsafa, nionayo ya kawaida yanaonekana hivyo.Hayo mafumbo na vijembe unampiga nani?
Asante Majaliwa!Wengi humu humu walitabiri nani angekuwa makamu wa rais wakimtaja hata Dk Bashiru Ally. Wengine walisema wazi waligemea mhe Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa atupwe. Haiwi haiwi huwa. Sijui mnajisikiaje ambao watu wenu wametoswa? Ni swali tu.
Bashiru hakutumbuliwa, bali Rais mpya hakutaka kufanya naye kazi, jambo ambalo ni la kawaida sana. Anayetumbuliwa ni yule aliyekosea katika utendaji wake, Bashiru ana mwezi mmoja tu kwenye nafasi hiyo; atakuwa kakosea wapi!Wengi humu humu walitabiri nani angekuwa makamu wa rais wakimtaja hata Dk Bashiru Ally. Wengine walisema wazi waligemea mhe Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa atupwe. Haiwi haiwi huwa. Sijui mnajisikiaje ambao watu wenu wametoswa? Ni swali tu.
Tunajisikia yentelele jombii maana CCM yoyote kwetu ni oncogene lazima tutafute namna ya kumuondoa.
Sasa wakiondoana wenyewe si inakuwa yededee tu.
Alikosea kwa kusema hatakubali uteuzi wowote akaishia kuupwakia huku bila aibu akiramba matapishi yake.Bashiru hakutumbuliwa, bali Rais mpya hakutaka kufanya naye kazi, jambo ambalo ni la kawaida sana. Anayetumbuliwa ni yule aliyekosea katika utendaji wake, Bashiru ana mwezi mmoja tu kwenye nafasi hiyo; atakuwa kakosea wapi!
Mawaki hawastahili hata time yetu dingi.Mtede huyu mbanga maana anatuletea uwaki
Na lichama lake
Hiyo nilikuwa siijui, ila bado yeye kunyangangwnywa madaraka siyo kutumbuliwa. Inawezeka walikuwa na friction kule CCM lakini siyo serikalini!Alikosea kwa kusema hatakubali uteuzi wowote akaishia kuupwakia huku bila aibu akiramba matapishi yake.
Anarudishwa taratibu, hajatupwa na hawezi kutupwa.kesho utamkuta palepale na zaidiAlikosea kwa kusema hatakubali uteuzi wowote akaishia kuupwakia huku bila aibu akiramba matapishi yake.
...nafasi ya waziri mkuu ilipaswa kuteuliwa upya na kuthibitishwa na bunge, Kisha kuapishwa.Kisha angeapishwa na rais.Hata Kama angemtaka Tena majaliwa angemrudisha Tena.Kisha angeunda Baraza jipya.Mama mwanzo alianza vizuri.Huku anakoelekea kukanyaga kiapo chake, sie wengine tunaoipenda nchi yetu kuliko chochote hatutamuunga mkono kwa hili.Huenda Kuna watu ndani ya serikali au ccm wamemshauri vibaya ili achafuke mapema kwa malengo yao.Binafsi nilitamani Sana apige miaka kumi lakini kwa mwendo huu naanza kuona Shaka.Kulinda kiapo Cha urais ni Jambo la msingi Sana hasa kuitii katiba yetu.Je katiba inasemaje na anaipuuza vipi?
Mwanafalsafa unaandika mistari miwili !!!!???Hakuna fumbo wala vijembe. Ndivyo nionavyo. Huenda ni kwa sababu mimi ni mwanafalsafa, nionayo ya kawaida yanaonekana hivyo.
Watabiri na wabashiri wamesha fanya kazi yao, na SSH kafanya yake. Game overWengi humu humu walitabiri nani angekuwa makamu wa rais wakimtaja hata Dk Bashiru Ally. Wengine walisema wazi waligemea mhe Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa atupwe. Haiwi haiwi huwa. Sijui mnajisikiaje ambao watu wenu wametoswa? Ni swali tu.
...nafasi ya waziri mkuu ilipaswa kuteuliwa upya na kuthibitishwa na bunge, Kisha kuapishwa.Kisha angeapishwa na rais.Hata Kama angemtaka Tena majaliwa angemrudisha Tena.Kisha angeunda Baraza jipya.Mama mwanzo alianza vizuri.Huku anakoelekea kukanyaga kiapo chake, sie wengine tunaoipenda nchi yetu kuliko chochote hatutamuunga mkono kwa hili.Huenda Kuna watu ndani ya serikali au ccm wamemshauri vibaya ili achafuke mapema kwa malengo yao.Binafsi nilitamani Sana apige miaka kumi lakini kwa mwendo huu naanza kuona Shaka.Kulinda kiapo Cha urais ni Jambo la msingi Sana hasa kuitii katiba yetu.