Numbisa JF-Expert Member Dec 12, 2016 297,768 1,163,745 May 18, 2017 #2 Pumzika kwa amani dada,mama,bibi. Pole sana kwa wafiwa
MeinKempf JF-Expert Member Jun 11, 2013 11,093 7,228 May 18, 2017 #3 Pole sana mkuu Richard Kasesela kwa msiba wa Dada yako. Mola akupe ujasiri katika kipindi hiki kigumu cha kundokewa na Dada yako kipenzi Kiasi cha kubaki wewe mwenyewe tu (wa kuzaliwa tumbo moja).
Pole sana mkuu Richard Kasesela kwa msiba wa Dada yako. Mola akupe ujasiri katika kipindi hiki kigumu cha kundokewa na Dada yako kipenzi Kiasi cha kubaki wewe mwenyewe tu (wa kuzaliwa tumbo moja).