Pre GE2025 Mkuu wa mkoa wa Shinyanga atishia kuwafukuza kazi watumishi waliogeuka kuwa mawakala wa wagombea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,724
4,475
Wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, ameonya vikali baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Ushetu waliogeuka kuwa mawakala wa wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge, akisema ataagiza wafukuzwe kazi ili kuepusha kuchanganya siasa na kazi za serikali.

Macha alitoa onyo hilo jana katika Kata ya Kisuke alipokuwa kwenye ziara ya kukagua hali ya uzalishaji wa zao la pamba na kusikiliza changamoto za wakulima.

Alibainisha kuwa baadhi ya watumishi wa halmashauri hiyo wameacha majukumu yao na badala yake wanashiriki katika siasa kwa kuwatafutia kura wagombea wa nafasi mbalimbali, jambo ambalo halikubaliki. Alisisitiza kuwa hatasita kuiwasilisha orodha ya watumishi hao kwa Mkuu wa Wilaya ili hatua zichukuliwe, ikiwa ni pamoja na kuwafukuza kazi.

IMG_0285.jpeg


"Nina orodha ya baadhi yao ambao badala ya kufanya kazi walizotumwa na serikali, wamegeuka kuwa wanasiasa. Nitaikabidhi kwa Mkuu wa Wilaya ili ichunguzwe, na wale watakaobainika tutaagiza mamlaka husika ziwafute kazi ili waendelee na siasa zao huko," alisema Macha
 
Wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, ameonya vikali baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Ushetu waliogeuka kuwa mawakala wa wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge, akisema ataagiza wafukuzwe kazi ili kuepusha kuchanganya siasa na kazi za serikali.

Macha alitoa onyo hilo jana katika Kata ya Kisuke alipokuwa kwenye ziara ya kukagua hali ya uzalishaji wa zao la pamba na kusikiliza changamoto za wakulima.

Alibainisha kuwa baadhi ya watumishi wa halmashauri hiyo wameacha majukumu yao na badala yake wanashiriki katika siasa kwa kuwatafutia kura wagombea wa nafasi mbalimbali, jambo ambalo halikubaliki. Alisisitiza kuwa hatasita kuiwasilisha orodha ya watumishi hao kwa Mkuu wa Wilaya ili hatua zichukuliwe, ikiwa ni pamoja na kuwafukuza kazi.

View attachment 3219892

"Nina orodha ya baadhi yao ambao badala ya kufanya kazi walizotumwa na serikali, wamegeuka kuwa wanasiasa. Nitaikabidhi kwa Mkuu wa Wilaya ili ichunguzwe, na wale watakaobainika tutaagiza mamlaka husika ziwafute kazi ili waendelee na siasa zao huko," alisema Macha
Hana huo ubavu sanasana yy ndio atawapisha hao watumishi haijui ccm vizuri huyu..!
 
Walah huyu Hana kazi Tena awamu ijayo Kwa namna serikali yetu ilivyo ya hovyo.
 
Wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, ameonya vikali baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Ushetu waliogeuka kuwa mawakala wa wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge, akisema ataagiza wafukuzwe kazi ili kuepusha kuchanganya siasa na kazi za serikali.

Macha alitoa onyo hilo jana katika Kata ya Kisuke alipokuwa kwenye ziara ya kukagua hali ya uzalishaji wa zao la pamba na kusikiliza changamoto za wakulima.

Alibainisha kuwa baadhi ya watumishi wa halmashauri hiyo wameacha majukumu yao na badala yake wanashiriki katika siasa kwa kuwatafutia kura wagombea wa nafasi mbalimbali, jambo ambalo halikubaliki. Alisisitiza kuwa hatasita kuiwasilisha orodha ya watumishi hao kwa Mkuu wa Wilaya ili hatua zichukuliwe, ikiwa ni pamoja na kuwafukuza kazi.

View attachment 3219892

"Nina orodha ya baadhi yao ambao badala ya kufanya kazi walizotumwa na serikali, wamegeuka kuwa wanasiasa. Nitaikabidhi kwa Mkuu wa Wilaya ili ichunguzwe, na wale watakaobainika tutaagiza mamlaka husika ziwafute kazi ili waendelee na siasa zao huko," alisema Macha
Mwenyewe anafanya kazi ya Serikali lakini ameteuliwa kisiasa.
 
Back
Top Bottom