Picha bdae..
Kama picha baadae kwann huu uzi usingeuleta baadae pia?
Wakuu za Jumapili,hapa mtaani kwetu leo kuna kampeini za CCM ila kiukweli zimedoda,pamoja na kuja na wanawake wanaojibaraguza na kujivua nguo ila hakuna kitu.
Mkutano umejaa watoto na hao ma mama wa kanga moko..Ama kweli wakazi wa Tenge wameamka na wanasema hawadanganyiki CHADEMA ndio chama chao.Mkutano unafanyika hapa nje kwenye shule ya Mkwepa kodi mama Rwakatale.
Wakuu za Jumapili,hapa mtaani kwetu leo kuna kampeini za CCM ila kiukweli zimedoda,pamoja na kuja na wanawake wanaojibaraguza na kujivua nguo ila hakuna kitu.
Mkutano umejaa watoto na hao ma mama wa kanga moko..Ama kweli wakazi wa Tenge wameamka na wanasema hawadanganyiki CHADEMA ndio chama chao.Mkutano unafanyika hapa nje kwenye shule ya Mkwepa kodi mama Rwakatale.
Hahahaha,mkuu achana na huyo,Viroba vibaya sana
Wakuu za Jumapili,hapa mtaani kwetu leo kuna kampeini za CCM ila kiukweli zimedoda,pamoja na kuja na wanawake wanaojibaraguza na kujivua nguo ila hakuna kitu.
Mkutano umejaa watoto na hao ma mama wa kanga moko..Ama kweli wakazi wa Tenge wameamka na wanasema hawadanganyiki CHADEMA ndio chama chao.Mkutano unafanyika hapa nje kwenye shule ya Mkwepa kodi mama Rwakatale.
Ccm mkubwa weeeeeee
Wazee wa pingamizi kweli mapinduzi
Escrow!!!Wakuu za Jumapili,hapa mtaani kwetu leo kuna kampeini za CCM ila kiukweli zimedoda,pamoja na kuja na wanawake wanaojibaraguza na kujivua nguo ila hakuna kitu.
Mkutano umejaa watoto na hao ma mama wa kanga moko..Ama kweli wakazi wa Tenge wameamka na wanasema hawadanganyiki CHADEMA ndio chama chao.Mkutano unafanyika hapa nje kwenye shule ya Mkwepa kodi mama Rwakatale.