Mkeka wa buku wa behewa upoje?

mimi mtakatifu

JF-Expert Member
Oct 11, 2019
245
534
Anayejua kutengeneza mkeka wa buku ambao unaweza kunipatia million 10-30 Tshs. Naomba nisaidie namna ya kuupanga huo mkeka.

mfano naweka timu ngapi? Ni wa kufungana au GG? Mimi sifahamu kabisa betting lakini nataka kuwa najaribu bahati yangu japo mkeka mmoja au miwili kwa wiki.

Unaweza niandikia hata kwa mkono ukaweka picha mimi nitajua cha kufanya.

NB: ninaomba ushauri wa kutengeneza mkeka sitaki ushauri wa betting ni nzuri au mbaya najua ubaya na madhara ya kuingia kwenye betting so usipoteze muda kunipa mahubiri.
 
Anayejua kutengeneza mkeka wa buku ambao unaweza kunipatia million 10-30 Tshs. Naomba nisaidie namna ya kuupanga huo mkeka.

mfano naweka timu ngapi? Ni wa kufungana au GG? Mimi sifahamu kabisa betting lakini nataka kuwa najaribu bahati yangu japo mkeka mmoja au miwili kwa wiki.

Unaweza niandikia hata kwa mkono ukaweka picha mimi nitajua cha kufanya.

NB: ninaomba ushauri wa kutengeneza mkeka sitaki ushauri wa betting ni nzuri au mbaya najua ubaya na madhara ya kuingia kwenye betting so usipoteze muda kunipa mahubiri.
Kutoka CAF champions mpaka COPCO CRDB cup. Kweli dunia inazunguka
Mtongozaji(Mwanaume): Baby niambie basi nifanye nini ili ujue kuwa nakupenda?
Mtongozwaji(Mwanamke): Ili nijue kuwa wanipenda naomba unisaidie kuipeleka Yanga robo fainali CAF msimu huu 2024/2025🤣🤣🤣
 
Kutoka CAF champions mpaka COPCO CRDB cup. Kweli dunia inazunguka
Mtongozaji(Mwanaume): Baby niambie basi nifanye nini ili ujue kuwa nakupenda?
Mtongozwaji(Mwanamke): Ili nijue kuwa wanipenda naomba unisaidie kuipeleka Yanga robo fainali CAF msimu huu 2024/2025🤣🤣🤣
Weka mkeka mzee achana na kwenda off topic
 
Tafuta sites zinazotoa ubashiri, pitia site kama mkekawaleo.com unaweza ambulia mikeka yenye odds nyingi humo
 
Man U vs Liverpool - Liver win
Barcelona Vs Madrid - GG
Bayern Vs Borissia - Over 3.5
PSG vs Marseille - Mbape to score
Juve vs Inter - Inter win or draw
Arsenal vs Chelsea - Arsn 2 - 1 Chels
Atletico vs Sevilla - Draw first half
Tottenham Vs Man city - Man city win
Napoli vs AC Milan - GG
Leipzig vs Borussia Manch - over 2.5 goals

Pia na hii formula, imewai nipa umullionea. Kaza roho
 
Anayejua kutengeneza mkeka wa buku ambao unaweza kunipatia million 10-30 Tshs. Naomba nisaidie namna ya kuupanga huo mkeka.

mfano naweka timu ngapi? Ni wa kufungana au GG? Mimi sifahamu kabisa betting lakini nataka kuwa najaribu bahati yangu japo mkeka mmoja au miwili kwa wiki.

Unaweza niandikia hata kwa mkono ukaweka picha mimi nitajua cha kufanya.

NB: ninaomba ushauri wa kutengeneza mkeka sitaki ushauri wa betting ni nzuri au mbaya najua ubaya na madhara ya kuingia kwenye betting so usipoteze muda kunipa mahubiri.

Unataka upate 10M kwa 1K?
Maana yake hapo unatakiwa uwe na odds 10K

Okay

747122 code hiyo ya Sportybet...nimekuwekea bonus odds zipo 16K
 
Back
Top Bottom