Masterofdisaster
Member
- Oct 17, 2019
- 32
- 61
Hello wana JamiiForums natumaini mko salama na mnaendelea na shughuli katika ujenzi wa taifa.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwaka 2018 Nilifanikiwa kupata kazi katika kampuni moja ya simu kama Assistant Accountant katika moja ya branch zilizopo mkoani Arusha.
Nikafanikiwa kuna na urafiki na watu tofaut tofauti. Siku tukiwa kazini nilikuwa na mazoea na mtoto mmoja wa kike ambaye alikuwa mkali sanaa ghafla hisia za kimahusiano juu yake zikaaza kuja.
Siku moja weekend nikiwa nyumbani akanipigia simu anataka kuja nyumbani kwangu nikamkaribisha kwa moyo wote majira ya saa sita fulani mnyamwezi nikajiandaa kitanda nikasafisha geto freshi.
Baada ya nusu saa hivi mtoto huyu hapaa nikamchangamkia ila mawazo yangu yote yalikuwa kwenye show tu! Of coz nilikuwa sina mapenz nae wala nini kwasababu nilijua ni mke wa mtu tukapiga story kwa muda kidgo lakini sasa ile kuanza tu kumshikashika mzuka ukakata kabisa jogoo akagoma kuwika mpaka leo sikujua kilichotokea.
Haijawahi kutokea mtoto aingie geto kwangu halafu atoke hivi hivi. Daah roho iliniuma sanaa nikajua kabisa huyuu mtoto akitoka hapaa atanidharau sanaa atahisi mimi ndiyo wale wale majoka
Basi nikapiga moyo konde nakuanza kumplease yule mtoto kwamba oooh sina hisia na wewe mara am scared, ila kiukweli by that time I was scared, ni kitu ambacho sijawahi, kulala na mke wa mtu
Nakumbuka mtoto alikasirika kiasi kwamba aliniomba simu yangu akafuta namba yake pamoja na picha zake zote ila mtoto wa kiume nilikuwa na app ya vault picha zake nyingi nilikuwa nimetupia kule. Akanambia nimemdhalilisha sanaa ila tu ananiomba nisitangaze kwa watu kwani nilimvua nguo na kumuacha bila kumfanya chochote. Akachukua vitu vyake akaondoka kwa hasira na kuapa kutokurudi tena geto kwangu.
Nilirudi geto na kuwaza sanaa kilichotokea nikawaza au mme wake kasha nifanyia mambo ya ajabu? Nilipata wasiwasi kiasi kwamba nikajihisi mimi si mwanaume tena. Nikaona isiwe noma nilikuwa na mpenzi wangu ambaye muda wote nikimuhitaji anakuja, nikampigia simu dakika chache akatimba geto lengo langu ni kichek kama jogoo atawika au laa, daaah ile kumuona tu demu wang 4G pale pale ikakaa sawa, I was very happy nikajua ule ulikuwa woga tu, ogopa sana mke wa mtu.
Jumatatu asubuhi nmeingia kazini bas mtoto akaja then akaomba kuongea na mimi. Nikamuitikia freshi kitu alichoniuliza ni kwamba nimeona kasoro gani kwake? Kwani hata mme wake hana hisia na yeye! Nikamwambia hamna chochote ni bas tu I was scared, kasema sawa!
Tulikaa kama week hivi bila text wala call akaja akanitafuta akanambia Chriss I can't live without you! Najitahid kukusahau lakini nashindwa nikamwambia kwa nini? Lakini hakuwa na sababu akaniomba tutoke tukae sehem tuongee nikawa namkwepa kila siku lakini hachoki.
Siku moja nikampa nafasi tukatoka mimi nikaagiza bia yeye Alvaro. But nikamshaur why asinywe hata Alvaro., lengo lang tu ni ili alewe afunguke vizur akagoma nkamwambia sawa usijal akachukua Alvaro
Katika maongezi yake mtoto aliongea mambo mengi sanaa kuhusu mme wake mpaka nikamuonea huruma kwamba mme wake hamfikishi anamuacha hewani, hamjali yeye! Akaniambia ila nisimfikirie vibaya kama yeye ni malaya. Nikamwambia usijal mimi siwezi nakuheshimu sanaa!
Maisha yaliendelea kila siku nikizidi kumkwepa lakini alionesha kunipenda sana na kutokukata tamaa kabisa. Mara nyingi nilimuonesha wazi wazi kama sina mapenzi naye lakini wapi aliendelea kunipigia simu na kuninunulia zawadi mbali mbali. Nakumbuka siku moja nimeomba likizo naenda nyumbani alinunua vitu vingi sanaa kwa ajili ya zawadi za wazee.
Siku moja majira ya jioni saa 12 hv mtoto akanipigia simu na kuniambia anataka kuja geto kabla hajaenda nyumbani kwake I was very shocked nikawaza isije ikatoke kama kipindi kile tena 4G igome kusoma ila nikajikaza nikasema haiwezekani mtoto aingie geto mara mbili atoke hivi hivi basi dakika kadhaa tu mtoto akatokea geto ile kutua tu mtoto alipendeza balaa alikuwa amevaa gauni fulani la moja kwa moja na chupi tu
Yaan ile kuingia ndan tu sikumuacha apoe nikamrukia na kumpa makiss ya kutosha daaah nikaanza kumsikia mapigo ya moyo yakienda mbio nikamchojoa tukaanza. Mtoto akaanza kulalamika sanaa mpaka machozi yakawa yanamtoka kwa sabab kitu alichukuwa anakitaka kwangu kwa muda mrefu hatimaye leo amekipata.
Baada ya hapo ni fulu kusifiwa mimi mtamu mara Chriss nipo tayari kuachana na mme wangu nikaona daaah hili sasa jangaa unataka kuachana na mme wako tena! Mtoto alikuwa haelewi chochote kuhusu mimi hayupo radhi kuachana na mimi.
Tuliendelea na mapenzi japo kwa siri ilifika kipindi mme wake akajua kabisa mimi natoka na mke wake lakini nikamkatalia kuwa mimi sitoki na mkeo, Jamaa aliumia sana na kunisihi niachane na mke wake kwani nimemsababishia maumivu makubwa katika familia yake.
Kila nikijaribu kuachana na yule mtoto ilikuwa haiwezekani mtoto alikuwa amekolea sanaaa nakumbuka siku nyingine kanipiga ambush nyumbani, mara hii nilimpa shoo ya nguvu kiasi kwamba ndyo kabisaa akaisahau familia yake kibaya zaid sikutumia kondomu, nikawaza je akipata mimba itakuwaje kuna muda nilianza kumpenda huyu mtoto wakati nikijua ana mme wake kutokana na vitu anavyonitunuku.
Basi mtoto alichanganyikiwa balaa kiasi kwamba akamchana mme wake live kuwa anataka kusepa mme wake alichanganyikiwa balaa akanipigia usiku na kutaka kujua kama nampenda kwel mke wake. Ilifika kipindi akaja officin na kuita wafanyakazi wenzangu ili kunikanya daaah roho iliniuma nikaona isiwe kesi niachane na mke wake kwa sabab hapo mbele nisije nikapigwa kimbora, yule mtoto aliachishwa kazi, now ni mama wa nyumbani.
LAKINI SASA CHA KUSHANGAZA YULE MTOTO KILA SIKU ANANITAFUTA ANADAI AMENIMISS.
WAKUU, NAOMBENI USHAURI HAPO KWA SABABU THIS TIME NAKIONA KIFO KIPO KARIBU.
Cc Masterofdisaster
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwaka 2018 Nilifanikiwa kupata kazi katika kampuni moja ya simu kama Assistant Accountant katika moja ya branch zilizopo mkoani Arusha.
Nikafanikiwa kuna na urafiki na watu tofaut tofauti. Siku tukiwa kazini nilikuwa na mazoea na mtoto mmoja wa kike ambaye alikuwa mkali sanaa ghafla hisia za kimahusiano juu yake zikaaza kuja.
Siku moja weekend nikiwa nyumbani akanipigia simu anataka kuja nyumbani kwangu nikamkaribisha kwa moyo wote majira ya saa sita fulani mnyamwezi nikajiandaa kitanda nikasafisha geto freshi.
Baada ya nusu saa hivi mtoto huyu hapaa nikamchangamkia ila mawazo yangu yote yalikuwa kwenye show tu! Of coz nilikuwa sina mapenz nae wala nini kwasababu nilijua ni mke wa mtu tukapiga story kwa muda kidgo lakini sasa ile kuanza tu kumshikashika mzuka ukakata kabisa jogoo akagoma kuwika mpaka leo sikujua kilichotokea.
Haijawahi kutokea mtoto aingie geto kwangu halafu atoke hivi hivi. Daah roho iliniuma sanaa nikajua kabisa huyuu mtoto akitoka hapaa atanidharau sanaa atahisi mimi ndiyo wale wale majoka
Basi nikapiga moyo konde nakuanza kumplease yule mtoto kwamba oooh sina hisia na wewe mara am scared, ila kiukweli by that time I was scared, ni kitu ambacho sijawahi, kulala na mke wa mtu
Nakumbuka mtoto alikasirika kiasi kwamba aliniomba simu yangu akafuta namba yake pamoja na picha zake zote ila mtoto wa kiume nilikuwa na app ya vault picha zake nyingi nilikuwa nimetupia kule. Akanambia nimemdhalilisha sanaa ila tu ananiomba nisitangaze kwa watu kwani nilimvua nguo na kumuacha bila kumfanya chochote. Akachukua vitu vyake akaondoka kwa hasira na kuapa kutokurudi tena geto kwangu.
Nilirudi geto na kuwaza sanaa kilichotokea nikawaza au mme wake kasha nifanyia mambo ya ajabu? Nilipata wasiwasi kiasi kwamba nikajihisi mimi si mwanaume tena. Nikaona isiwe noma nilikuwa na mpenzi wangu ambaye muda wote nikimuhitaji anakuja, nikampigia simu dakika chache akatimba geto lengo langu ni kichek kama jogoo atawika au laa, daaah ile kumuona tu demu wang 4G pale pale ikakaa sawa, I was very happy nikajua ule ulikuwa woga tu, ogopa sana mke wa mtu.
Jumatatu asubuhi nmeingia kazini bas mtoto akaja then akaomba kuongea na mimi. Nikamuitikia freshi kitu alichoniuliza ni kwamba nimeona kasoro gani kwake? Kwani hata mme wake hana hisia na yeye! Nikamwambia hamna chochote ni bas tu I was scared, kasema sawa!
Tulikaa kama week hivi bila text wala call akaja akanitafuta akanambia Chriss I can't live without you! Najitahid kukusahau lakini nashindwa nikamwambia kwa nini? Lakini hakuwa na sababu akaniomba tutoke tukae sehem tuongee nikawa namkwepa kila siku lakini hachoki.
Siku moja nikampa nafasi tukatoka mimi nikaagiza bia yeye Alvaro. But nikamshaur why asinywe hata Alvaro., lengo lang tu ni ili alewe afunguke vizur akagoma nkamwambia sawa usijal akachukua Alvaro
Katika maongezi yake mtoto aliongea mambo mengi sanaa kuhusu mme wake mpaka nikamuonea huruma kwamba mme wake hamfikishi anamuacha hewani, hamjali yeye! Akaniambia ila nisimfikirie vibaya kama yeye ni malaya. Nikamwambia usijal mimi siwezi nakuheshimu sanaa!
Maisha yaliendelea kila siku nikizidi kumkwepa lakini alionesha kunipenda sana na kutokukata tamaa kabisa. Mara nyingi nilimuonesha wazi wazi kama sina mapenzi naye lakini wapi aliendelea kunipigia simu na kuninunulia zawadi mbali mbali. Nakumbuka siku moja nimeomba likizo naenda nyumbani alinunua vitu vingi sanaa kwa ajili ya zawadi za wazee.
Siku moja majira ya jioni saa 12 hv mtoto akanipigia simu na kuniambia anataka kuja geto kabla hajaenda nyumbani kwake I was very shocked nikawaza isije ikatoke kama kipindi kile tena 4G igome kusoma ila nikajikaza nikasema haiwezekani mtoto aingie geto mara mbili atoke hivi hivi basi dakika kadhaa tu mtoto akatokea geto ile kutua tu mtoto alipendeza balaa alikuwa amevaa gauni fulani la moja kwa moja na chupi tu
Yaan ile kuingia ndan tu sikumuacha apoe nikamrukia na kumpa makiss ya kutosha daaah nikaanza kumsikia mapigo ya moyo yakienda mbio nikamchojoa tukaanza. Mtoto akaanza kulalamika sanaa mpaka machozi yakawa yanamtoka kwa sabab kitu alichukuwa anakitaka kwangu kwa muda mrefu hatimaye leo amekipata.
Baada ya hapo ni fulu kusifiwa mimi mtamu mara Chriss nipo tayari kuachana na mme wangu nikaona daaah hili sasa jangaa unataka kuachana na mme wako tena! Mtoto alikuwa haelewi chochote kuhusu mimi hayupo radhi kuachana na mimi.
Tuliendelea na mapenzi japo kwa siri ilifika kipindi mme wake akajua kabisa mimi natoka na mke wake lakini nikamkatalia kuwa mimi sitoki na mkeo, Jamaa aliumia sana na kunisihi niachane na mke wake kwani nimemsababishia maumivu makubwa katika familia yake.
Kila nikijaribu kuachana na yule mtoto ilikuwa haiwezekani mtoto alikuwa amekolea sanaaa nakumbuka siku nyingine kanipiga ambush nyumbani, mara hii nilimpa shoo ya nguvu kiasi kwamba ndyo kabisaa akaisahau familia yake kibaya zaid sikutumia kondomu, nikawaza je akipata mimba itakuwaje kuna muda nilianza kumpenda huyu mtoto wakati nikijua ana mme wake kutokana na vitu anavyonitunuku.
Basi mtoto alichanganyikiwa balaa kiasi kwamba akamchana mme wake live kuwa anataka kusepa mme wake alichanganyikiwa balaa akanipigia usiku na kutaka kujua kama nampenda kwel mke wake. Ilifika kipindi akaja officin na kuita wafanyakazi wenzangu ili kunikanya daaah roho iliniuma nikaona isiwe kesi niachane na mke wake kwa sabab hapo mbele nisije nikapigwa kimbora, yule mtoto aliachishwa kazi, now ni mama wa nyumbani.
LAKINI SASA CHA KUSHANGAZA YULE MTOTO KILA SIKU ANANITAFUTA ANADAI AMENIMISS.
WAKUU, NAOMBENI USHAURI HAPO KWA SABABU THIS TIME NAKIONA KIFO KIPO KARIBU.
Cc Masterofdisaster