Pre GE2025 Mjini Magharibi: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
3,934
13,689
Mjini Magharibi (Unguja).jpg

Mkoa wa Mjini Magharibi ni moja kati ya mikoa 31 ya Tanzania na unapatikana ndani ya Kisiwa cha Unguja. Mkoa huu una wilaya tatu ambazo ni Mjini, Unguja Magharibi A na Unguja Magharibi B.

Mkoa huu una wakazi takriban 893,169 kulingana na sensa ya mwaka 2022. Jimbo la Pangawe linaongoza kwa kuwa na watu wengi (93,763) likifuatiwa na Jimbo la Mwera ambalo lina idadi ya (watu 89,056). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Amani ambalo lina watu 20,626.

Mkoa wa Mjini Magharibi una jumla ya Majimbo 17, Baraza (Wilaya) 17 na Wadi 43.

Majimbo ya Mjini Magharibi ni pamoja na;
  1. Malindi
  2. Shaurimoyo
  3. Chumbuni
  4. Amani
  5. Magomeni
  6. Mpendae
  7. Jang'ombe
  8. Kwahani
  9. Bububu
  10. Mwera
  11. Welezo
  12. Mtoni
  13. Mwanakwerekwe
  14. Pangawe
  15. Fuoni
  16. Dimani
  17. Kiembe Samaki
Soma, Pia

2024
 
Back
Top Bottom