Misaada tunayopewa na wahisani inaingia mifukoni mwa watu? Imetuletea faida gani? Tangu uhuru matrilioni ni mengi. USA imechoka sasa

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
23,800
43,477
Hili sakata linaloendelea la Rais Donald Trump kutishia kufuta misaada iliyokuwa inatolewa kwa Nchi Maskini hasa afrika imezua kasheshe.

Hata hivyo wananchi ktk mataifa mbali mbali yaliyoko kwenye orodha inayotishiwa wamekuwa na hisia na mawazo tofauti juu ya kadhia hiyo.

Wengine wanasema mataifa hayo yataathrika kwa sehemu kubwa hasa ktk nyanja za miradi ya elimu, afya na shughuli za kiuchumi kama kilimo, ufugaji, barabara na biashara pia.

Hata hivyo kundi lingine linadai kwa nuda wa miaka mingi tangu uhuru serikali za Afrika zimepokea matrilioni ya fedha za misaada.

Soma Pia: Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika

Na kinachoonekana kama matokeo ya misaada ni kidogo sana. Wengine wakidai wanufaika wa pesa za wa hisani ni watu wachache tu wenye mamlaka kutokana na kukithiri kwa Ufisadi, ufujaji wa mali za umma, rushwa, kukosekana kwa misingi ya utawala bora kama uwazi na uwajibikaji.

Hali hiyo imepelekea Raia wa Nchi hizo kudhani kwamba misaada inaishia mikononi ai mifukoni mwa Watawala wa Nchi zao.

Ndio maana Raia wengi wanaonekana kufurahia agizo la Rais Trump kusitisha misaada kwa miezi mitatu.

Mpaka sasa Mashirika ya Misaada ya Marekani kama USAID wameanza utekelezaji mara moja tangu Tamko hilo Jan 20, 2025.

Kwa Upande wa Tanzania hatua hiyo inaweza kuwa na madhara kadhaa ikiwemo watu kukosa ajira, miradi mbali mbali ya afya na elimu yaweza kuathirika kwa kiasi fulani.

Hata hivyo tunatumaini kupata ripoti ya uchambuzi kutoka kwa wataalam wa uchumi watueleze ni kwa namna gani tunaweza kuathiriwa na uamzi huo ikiwemo mbinu za muda mfupi na muda mrefu za kukabiliana.
 
Hili sakata linaloendelea la Rais Donald Trump kutishia kufuta misaada iliyokuwa inatolewa kwa Nchi Maskini hasa afrika imezua kasheshe.

Hata hivyo wananchi ktk mataifa mbali mbali yaliyoko kwenye orodha inayotishiwa wamekuwa na hisia na mawazo tofauti juu ya kadhia hiyo.

Wengine wanasema mataifa hayo yataathrika kwa sehemu kubwa hasa ktk nyanja za miradi ya elimu, afya na shughuli za kiuchumi kama kilimo, ufugaji, barabara na biashara pia.

Hata hivyo kundi lingine linadai kwa nuda wa miaka mingi tangu uhuru serikali za Afrika zimepokea matrilioni ya fedha za misaada.

Na kinachoonekana kama matokeo ya misaada ni kidogo sana. Wengine wakidai wanufaika wa pesa za wa hisani ni watu wachache tu wenye mamlaka kutokana na kukithiri kwa Ufisadi, ufujaji wa mali za umma, rushwa, kukosekana kwa misingi ya utawala bora kama uwazi na uwajibikaji.

Hali hiyo imepelekea Raia wa Nchi hizo kudhani kwamba misaada inaishia mikononi ai mifukoni mwa Watawala wa Nchi zao.

Ndio maana Raia wengi wanaonekana kufurahia agizo la Rais Trump kusitisha misaada kwa miezi mitatu.

Mpaka sasa Mashirika ya Misaada ya Marekani kama USAID wameanza utekelezaji mara moja tangu Tamko hilo Jan 20, 2025.

Kwa Upande wa Tanzania hatua hiyo inaweza kuwa na madhara kadhaa ikiwemo watu kukosa ajira, miradi mbali mbali ya afya na elimu yaweza kuathirika kwa kiasi fulani.

Hata hivyo tunatumaini kupata ripoti ya uchambuzi kutoka kwa wataalam wa uchumi watueleze ni kwa namna gani tunaweza kuathiriwa na uamzi huo ikiwemo mbinu za muda mfupi na muda mrefu za kukabiliana.
Ni vema sawa kila nchi ianze kuchukua hatua na kuangatia matumizi ya lazima ktk bajeti zao
 
HAta ingekuwa wewe mkuu ungezipiga tu.
Kila mtu apige anapoweza
 
NGO nyingi ni za kipigaji, wanajilipa mishahara mikubwa MNO kuliko misaada husika, unakuta mtu mmoja analipwa $15,000 NGO ya pedi za wasichana wanafunzi wa shule mkoa X
 
Hili sakata linaloendelea la Rais Donald Trump kutishia kufuta misaada iliyokuwa inatolewa kwa Nchi Maskini hasa afrika imezua kasheshe.

Hata hivyo wananchi ktk mataifa mbali mbali yaliyoko kwenye orodha inayotishiwa wamekuwa na hisia na mawazo tofauti juu ya kadhia hiyo.

Wengine wanasema mataifa hayo yataathrika kwa sehemu kubwa hasa ktk nyanja za miradi ya elimu, afya na shughuli za kiuchumi kama kilimo, ufugaji, barabara na biashara pia.

Hata hivyo kundi lingine linadai kwa nuda wa miaka mingi tangu uhuru serikali za Afrika zimepokea matrilioni ya fedha za misaada.

Soma Pia: Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika

Na kinachoonekana kama matokeo ya misaada ni kidogo sana. Wengine wakidai wanufaika wa pesa za wa hisani ni watu wachache tu wenye mamlaka kutokana na kukithiri kwa Ufisadi, ufujaji wa mali za umma, rushwa, kukosekana kwa misingi ya utawala bora kama uwazi na uwajibikaji.

Hali hiyo imepelekea Raia wa Nchi hizo kudhani kwamba misaada inaishia mikononi ai mifukoni mwa Watawala wa Nchi zao.

Ndio maana Raia wengi wanaonekana kufurahia agizo la Rais Trump kusitisha misaada kwa miezi mitatu.

Mpaka sasa Mashirika ya Misaada ya Marekani kama USAID wameanza utekelezaji mara moja tangu Tamko hilo Jan 20, 2025.

Kwa Upande wa Tanzania hatua hiyo inaweza kuwa na madhara kadhaa ikiwemo watu kukosa ajira, miradi mbali mbali ya afya na elimu yaweza kuathirika kwa kiasi fulani.

Hata hivyo tunatumaini kupata ripoti ya uchambuzi kutoka kwa wataalam wa uchumi watueleze ni kwa namna gani tunaweza kuathiriwa na uamzi huo ikiwemo mbinu za muda mfupi na muda mrefu za kukabiliana.
Ukiwa mzima utafurahia ila Kwa wale wanaopokea Msaada wa madawa lazima wasikuelewe.

Hata hivyo hao USAID mara nyingi hela zao hutoa Kwa NGOs hawaleti Serikalini.

Nakumbuka Serikali iliwahi kusema waanze kupitishia hela zao Serikalini wakawa wakali ,so ni sawa kabisa Ili wajibu wa kulinda Afya na masuala mengine usalie Kwa Nchi husika.

Mwisho Kuna misaada mingine ilikuwa ya kimiradi na Bajeti,hiyo itakuwa na athari za Moja Kwa Moja Kwa Nchi husika.
 
Back
Top Bottom