LGE2024 Mikumi: Joseph Haule adai mpaka majira ya Saa nne baadhi ya vituo vya Mikumi havijafunguliwa na karatasi za kupigia kura hazijafika

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,336
4,730
Jimbo la MIKUMI kata za Ruaha, Ruhembe, kidodi,Tindiga, Mabwerebwere, Masanze, Zombo mpaka sasa hivi saa 4 na robo karatasi za kupigia kura bado hazijafika na vituo havijafunguliwa, kata za Kilangali, Ulaya Na Mhenda uchaguzi umesimama eti karatasi zimekwisha haya si maajabu?

1732696052019.png
Pia soma:LIVE - LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
 
Jimbo la MIKUMI kata za Ruaha, Ruhembe, kidodi,Tindiga, Mabwerebwere, Masanze, Zombo mpaka sasa hivi saa 4 na robo karatasi za kupigia kura bado hazijafika na vituo havijafunguliwa, kata za Kilangali, Ulaya Na Mhenda uchaguzi umesimama eti karatasi zimekwisha haya si maajabu?
Ya karne 21,usikute vituo vimehamishwa kimya kimya
 
Back
Top Bottom