Mikoa 10 inayoongoza Kwa Ujenzi Holela (Squatters) Kwa Tanzania

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
63,787
73,625
Tanzania Kwa ujumla Makazi yake mengi ni holela na hayajafuata mipango Miji yaani squatters ambapo asilimia 67% ya majengo/Makazi yote Nchini ni Uswahilini yaani Slums.

Pamoja na hali hiyo mbaya ya kimakazi ila Kuna Mikoa imetoa fora Kwa Makazi Yao mengi kujengwa kwenye maeneo ambayo hayajapimwa na hivyo.

Mikoa 10 inayoongoza Kwa kuwa na uswahili mwingi yaani slums or Squatters ni kama ifuatavyo ;

1.Kagera 85.9%
2.Simiyu 82.4%
3.Geita 77.5%
4.Singida 77%
5.Songwe 75.7%
6.Tabora 74.3%
7.Kilimanjaro 74%
8.Tanga 72.8%
9.Katavi 72.7%
10.Manyara 72.2%

NB
Matokeo haya ni Kwa mujibu wa sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2022 by NBS.
Screenshot_20241221-094321.jpg


My Take
Kwa mara nyingine Mbeya haipo kwenye Mikoa ya hovyo huku Mikoa ya watu wenye majigambo ikiwa ni miongoni mwa watu wanaishi bila ustaarabu mfano Kagera na Kilimanjaro.

Mikoa ambayo walau Ina kiwango Nafuu Cha Mipango Miji ni
-Dar
-Kigoma
-Mbeya
-Iringa
-Morogoro
-Mwanza
-Arusha

Pia soma Mikoa 11 Yenye Nyumba Duni Tanzania: Zimejengwa na Kuezekwa kwa Udongo, Miti, Mabanzi na Nyasi. Imo Mikoa Maarufu ya Arusha, Kagera na Mwanza
 
Tanzania Kwa ujumla Makazi yake mengi ni holela na hayajafuata mipango Miji yaani squatters ambapo asilimia 67% ya majengo/Makazi yote Nchini ni Uswahilini yaani Slums.

Pamoja na hali hiyo mbaya ya kimakazi ila Kuna Mikoa imetoa fora Kwa Makazi Yao mengi kujengwa kwenye maeneo ambayo hayajapimwa na hivyo.

Mikoa 10 inayoongoza Kwa kuwa na uswahili mwingi yaani slums or Squatters ni kama ifuatavyo ;

1.Kagera 85.9%
2.Simiyu 82.4%
3.Geita 77.5%
4.Singida 77%
5.Songwe 75.7%
6.Tabora 74.3%
7.Kilimanjaro 74%
8.Tanga 72.8%
9.Katavi 72.7%
10.Manyara 72.2%

NB
Matokeo haya ni Kwa mujibu wa sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2022.
View attachment 3184454

My Take
Kwa mara nyingine Mbeya haipo kwenye Mikoa ya hovyo huku Mikoa ya watu wenye majigambo ikiwa ni miongoni mwa watu wanaishi bila ustaarabu mfano Kagera na Kilimanjaro.
-Ujenzi holela ni nini?
-Kwa nini watu wajenge kiholela?
-Kuna mamlaka zinazosimamia kusiwepo na uholela huo?
-Wana nguvu/rasilimali na weledi tosha kusimamia hayo?
-Elimu ya ujenzi wa makazi/majengo bora kikanuni imetolewa?
-Watu wanapohitaji vibali vya ujenzi na maelekezo wanapata kwa wakati?
-Vipi kuhusu urasimu kwa wateja?
-Watakabiliana/kurekebishaje makosa yaliyotokea tayari ili kudhibiti yajayo?
-Kiashiria cha watu kujenga holela wakati mwingine ni kupata kipato kikubwa kwa wakati mfupi na kuhitaji kufanya maendeleo.Wanalijua hilo?
-Wahamiaji na wageni/walioenda kutafuta vipato ni chanzo kingine cha ujenzi holela kama wasipodhibitiwa.Mamlaka imejipangaje kuanzia kwa wenyeviti wa vitongoji/vijiji/mitaa hadi ngazi ya halmashauri?
 
-Ujenzi holela ni nini?
-Kwa nini watu wajenge kiholela?
-Kuna mamlaka zinazosimamia kusiwepo nabuholela huo?
-Wana nguvu/rasilimali na weledi tosha kusimamia hayo?
-Elimu ya ujenzi wa makazi/majengo bora kikanuni imetolewa?
-Watu wanapohitaji vibali vya ujenzi na maelekezo wanapata kwa wakati?
-Vipi kuhusu urasimu kwa wateja?
-Watakabiliana/kurekebishaje makosa yaliyotokea tayari ili kudhibiti yajayo?
-Kiashiria cha watu kujenga holela wakati mwingine ni kupata kipato kikubwa kwa wakati mfupi na kuhitaji kufanya maendeleo.Wanalijua hilo?
-Wahamiaji na wageni/walioenda kutafuta vipato ni chanzo kingine cha ujenzi holela kama wasipodhibitiwa.Mamlaka imejipangaje kuanzia kwa wenyeviti wa vitongoji/vijiji/mitaa hadi ngazi ya halmashauri.
Uulize Serikali Mimi nimenukuu taarifa ya matokeo ya sensa kutoka NBS
 
Tanzania Kwa ujumla Makazi yake mengi ni holela na hayajafuata mipango Miji yaani squatters ambapo asilimia 67% ya majengo/Makazi yote Nchini ni Uswahilini yaani Slums.

Pamoja na hali hiyo mbaya ya kimakazi ila Kuna Mikoa imetoa fora Kwa Makazi Yao mengi kujengwa kwenye maeneo ambayo hayajapimwa na hivyo.

Mikoa 10 inayoongoza Kwa kuwa na uswahili mwingi yaani slums or Squatters ni kama ifuatavyo ;

1.Kagera 85.9%
2.Simiyu 82.4%
3.Geita 77.5%
4.Singida 77%
5.Songwe 75.7%
6.Tabora 74.3%
7.Kilimanjaro 74%
8.Tanga 72.8%
9.Katavi 72.7%
10.Manyara 72.2%

NB
Matokeo haya ni Kwa mujibu wa sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2022 by NBS.
View attachment 3184454

My Take
Kwa mara nyingine Mbeya haipo kwenye Mikoa ya hovyo huku Mikoa ya watu wenye majigambo ikiwa ni miongoni mwa watu wanaishi bila ustaarabu mfano Kagera na Kilimanjaro.

Mikoa ambayo walau Ina kiwango Nafuu Cha Mipango Miji ni
-Dar
-Kigoma
-Mbeya
-Iringa
-Morogoro
-Mwanza
-Arusha
Wamepimaje na Dar imekosaje hapo?
 
Percent mara nyingine zinaficha matatizo.

Mkoa wenye nyumba tatu, mbili zikiwa za squatters, utaonekana sawa na mkoa wenye nyumba milioni tatu, milioni mbili zikiwa za squatters.
Of course ila ndio njia rahisi ya kueleza jambo Kwa uwiano.
 
-Ujenzi holela ni nini?
-Kwa nini watu wajenge kiholela?
Viwanja vya kupimwa viinauzwa bei aghali sana na familia nyingi ni masikini hazimudu bei
-Kuna mamlaka zinazosimamia kusiwepo na uholela huo?
Zimeendekeza rushwa
-Wana nguvu/rasilimali na weledi tosha kusimamia hayo?
-Elimu ya ujenzi wa makazi/majengo bora kikanuni imetolewa?
-Watu wanapohitaji vibali vya ujenzi na maelekezo wanapata kwa wakati?
-Vipi kuhusu urasimu kwa wateja?
Rushwa ni kikwazo
-Watakabiliana/kurekebishaje makosa yaliyotokea tayari ili kudhibiti yajayo?
-Kiashiria cha watu kujenga holela wakati mwingine ni kupata kipato kikubwa kwa wakati mfupi na kuhitaji kufanya maendeleo.Wanalijua hilo?
-Wahamiaji na wageni/walioenda kutafuta vipato ni chanzo kingine cha ujenzi holela kama wasipodhibitiwa.Mamlaka imejipangaje kuanzia kwa wenyeviti wa vitongoji/vijiji/mitaa hadi ngazi ya halmashauri?
 
Back
Top Bottom