Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 573
- 781
Wananchi katika Mkoa Wa Arusha wameeleza kuridhishwa na kazi inayoendelea kufanya na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Nchini hususani katika kuwaleta wananchi pamoja na utekelezaji Mbalimbali Wa Miradi ya maendeleo na kutoa ahueni ya wafanyabiashara kufanya Biashara zao Kwa uhuru. Wameyasema hayo katika Mdahalo Wa Hadhara ulioandaliwa na baadhi ya wandishi Wa Habari Wa Mkoa Wa Arusha wakiongozwa na Mwandishi Korumba Lebababazi.
Katika Mdahalo huo wananchi hao pamoja na kupongeza Rais Samia wameonyesha kutokuridhishwa na utendaji Wa Shirika la Umeme Tanesco hasa kutokana na kukatika katika Kwa umeme muda mwingi Hali inayopeleka kushindwa kushiriki kikamilifu katika uzakishaji Wa umeme
Afisa Mahusiano Kwa umma Mkoa Wa Arusha akijibu changa moto hiyo aliwaeleza wananchi hao kuwa changamoto hiyo ipo ukingoni kuisha kutokana na vyanzo vipya vya umeme Shirika Hilo inavyokaribia kuvukamilisha na kuanza kuzalisha umeme akitolea mfano bwawa na Mwalimu nyerere.
Mdahalo huo Wa wawazi uliwaleta pamoja wataalamu na maafisa Wa serikali pamoja na wananchi kutathimini Mafanikio ya miaka Mitatu ya Serikali ya awamu ya sita chini Ya Rais Dkt Samia Suluhu Hasan na ulifanyikia katika viwanja vya satandi ya Mkoa Wa Arusha na kuhudhuriwa na Mamia ya wakazi Wa Mkoa Wa Arusha.
Katika Mdahalo huo wananchi hao pamoja na kupongeza Rais Samia wameonyesha kutokuridhishwa na utendaji Wa Shirika la Umeme Tanesco hasa kutokana na kukatika katika Kwa umeme muda mwingi Hali inayopeleka kushindwa kushiriki kikamilifu katika uzakishaji Wa umeme
Afisa Mahusiano Kwa umma Mkoa Wa Arusha akijibu changa moto hiyo aliwaeleza wananchi hao kuwa changamoto hiyo ipo ukingoni kuisha kutokana na vyanzo vipya vya umeme Shirika Hilo inavyokaribia kuvukamilisha na kuanza kuzalisha umeme akitolea mfano bwawa na Mwalimu nyerere.
Mdahalo huo Wa wawazi uliwaleta pamoja wataalamu na maafisa Wa serikali pamoja na wananchi kutathimini Mafanikio ya miaka Mitatu ya Serikali ya awamu ya sita chini Ya Rais Dkt Samia Suluhu Hasan na ulifanyikia katika viwanja vya satandi ya Mkoa Wa Arusha na kuhudhuriwa na Mamia ya wakazi Wa Mkoa Wa Arusha.