Miaka 33 ya utapeli wa kisiasa

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
12,850
53,024
Mrema- agent
Cheyo-agent
Lipumba-agent
Slaa-agent
Mbowe-agent
Safari-agent
Baregu-agent
Zitto-agent
Bulaya-agent
Mdee-agent
Seif-agent
Kafulila-agent
Katambi-agent
Mashiji-agent
Yeriko-agent
Malisa-agent

List ni ndefu Sasa naona Lissu kakataa masharti ya kutapeli wananchi kaenda kufanya iwe kweli je Nani atashinda hii battle?

Matapeli wa upinzani, Serikali ya kinyonyaji na kifisadi au aliyesimama na wanachi?
 
Mrema- agent
Cheyo-agent
Lipumba-agent
Slaa-agent
Mbowe-agent
Safari-agent
Baregu-agent
Zitto-agent
Bulaya-agent
Mdee-agent
Seif-agent
Kafulila-agent
Katambi-agent
Mashiji-agent
Yeriko-agent
Malisa-agent

List ni ndefu Sasa naona Lissu kakataa masharti ya kutapeli wananchi kaenda kufanya iwe kweli je Nani atashinda hii battle?

Matapeli wa upinzani, Serikali ya kinyonyaji na kifisadi au aliyesimama na wanachi?

GofAzFFWoAAkrVL.jpeg
 
Mrema- agent
Cheyo-agent
Lipumba-agent
Slaa-agent
Mbowe-agent
Safari-agent
Baregu-agent
Zitto-agent
Bulaya-agent
Mdee-agent
Seif-agent
Kafulila-agent
Katambi-agent
Mashiji-agent
Yeriko-agent
Malisa-agent

List ni ndefu Sasa naona Lissu kakataa masharti ya kutapeli wananchi kaenda kufanya iwe kweli je Nani atashinda hii battle?

Matapeli wa upinzani, Serikali ya kinyonyaji na kifisadi au aliyesimama na wanachi?
Nakataa,wengi hawaingii kwa dhamira ya kuwa matapeli,bali pesa inawafumba macho haswaa,wanajikuta wamesaliti.
 
Mrema- agent
Cheyo-agent
Lipumba-agent
Slaa-agent
Mbowe-agent
Safari-agent
Baregu-agent
Zitto-agent
Bulaya-agent
Mdee-agent
Seif-agent
Kafulila-agent
Katambi-agent
Mashiji-agent
Yeriko-agent
Malisa-agent

List ni ndefu Sasa naona Lissu kakataa masharti ya kutapeli wananchi kaenda kufanya iwe kweli je Nani atashinda hii battle?

Matapeli wa upinzani, Serikali ya kinyonyaji na kifisadi au aliyesimama na wanachi?
We zombie Lissu kafanya lipi kuwazidi hao uliowataja? We kwl toto la juzi. Kuna mtu alipambana km maalim Seif? Aliishia wapi? Lissu nyau tu asiye na wafuasi ila ana misukule wa humu mitandaoni. Maalim alikuwa Pemba yote na wafuasi wengi tu huku bara, sasa lofa asiye na ht na mfuasi Zanzibar maana huwa anawatukana na kwamba akipata madaraka cha kwanza ni kuvunja muungano, atavunjika yeye
 
Ikiwa Agent tafsiri yake ni kiunganishi kati ya mtu na mtu, taasisi na taasisi, serikali na wananchi,


Basi hata Tundu lissu ni agent,

Sababu Lisuu ni agent wa wananchi kupeleka agenda ya watanzania ya no Reforms no Election.

Kila mtu ni agent.

Uliowataja ungewaweka kundi la " Double Agent" ningeelewa.

Japo Dr Slaa uagent wake ni nzuri maana ni kwa maslah mapana ya nchi yetu.
 
We zombie Lissu kafanya lipi kuwazidi hao uliowataja? We kwl toto la juzi. Kuna mtu alipambana km maalim Seif? Aliishia wapi? Lissu nyau tu asiye na wafuasi ila ana misukule wa humu mitandaoni. Maalim alikuwa Pemba yote na wafuasi wengi tu huku bara, sasa lofa asiye na ht na mfuasi Zanzibar maana huwa anawatukana na kwamba akipata madaraka cha kwanza ni kuvunja muungano, atavunjika yeye
Nyau mama yako
 
Mrema- agent
Cheyo-agent
Lipumba-agent
Slaa-agent
Mbowe-agent
Safari-agent
Baregu-agent
Zitto-agent
Bulaya-agent
Mdee-agent
Seif-agent
Kafulila-agent
Katambi-agent
Mashiji-agent
Yeriko-agent
Malisa-agent

List ni ndefu Sasa naona Lissu kakataa masharti ya kutapeli wananchi kaenda kufanya iwe kweli je Nani atashinda hii battle?

Matapeli wa upinzani, Serikali ya kinyonyaji na kifisadi au aliyesimama na wanachi?
sisi tuendelee kuomba Mungu
 
We zombie Lissu kafanya lipi kuwazidi hao uliowataja? We kwl toto la juzi. Kuna mtu alipambana km maalim Seif? Aliishia wapi? Lissu nyau tu asiye na wafuasi ila ana misukule wa humu mitandaoni. Maalim alikuwa Pemba yote na wafuasi wengi tu huku bara, sasa lofa asiye na ht na mfuasi Zanzibar maana huwa anawatukana na kwamba akipata madaraka cha kwanza ni kuvunja muungano, atavunjika yeye
We naye ni tapeli
 
Ikiwa Agent tafsiri yake ni kiunganishi kati ya mtu na mtu, taasisi na taasisi, serikali na wananchi,


Basi hata Tundu lissu ni agent,

Sababu Lisuu ni agent wa wananchi kupeleka agenda ya watanzania ya no Reforms no Election.

Kila mtu ni agent.

Uliowataja ungewaweka kundi la " Double Agent" ningeelewa.

Japo Dr Slaa uagent wake ni nzuri maana ni kwa maslah mapana ya nchi yetu.
Agent wa kuhujumu maslahi ya wanachi
 
We zombie Lissu kafanya lipi kuwazidi hao uliowataja? We kwl toto la juzi. Kuna mtu alipambana km maalim Seif? Aliishia wapi? Lissu nyau tu asiye na wafuasi ila ana misukule wa humu mitandaoni. Maalim alikuwa Pemba yote na wafuasi wengi tu huku bara, sasa lofa asiye na ht na mfuasi Zanzibar maana huwa anawatukana na kwamba akipata madaraka cha kwanza ni kuvunja muungano, atavunjika yeye
Zanzibar ina watu wangapi, si kama kata hapo morogoro?
 
Vyama vya wafanyakazi viongozi ni maajenti, Bongo Muvi wamo, Media house wamo, Chama Cha walimu Tanzania wamo kibao, pumbavu kabisa, Nyerere aliharibu Sana nchi hii!
 
Back
Top Bottom