Swali la kufungia mwaka kabisa. Swali hili hata kama umelielekeza kwa Musiba lakini lina wagusa wengi sana.Hivi magogoni kukifa na msiba atakufa?
Mo hata kuja kusema jamani nilienda hapa nikapita hivi na kufika kule hakuna!!!Hayo yote madogo mkuu!tekwa wewe uone kama watapata hata habari tuhukuti hata popote #free Viatu vya samaki# ng"o!
Ndiyo mpunguze vimbelembele mkuu,we Mo anakujua mpaka akupe habariMo hata kuja kusema jamani nilienda hapa nikapita hivi na kufika kule hakuna!!!
Kila mtu akitekwa ajililie mwenyewe.
Ndiyo mpunguze vimbelembele mkuu,we Mo anakujua mpaka akupe habari
Haha Magufuli bado kwenda kula Krismas milembe kumbe ameagiza polisi wafungie gazeti kwa sababu tumbo lake halijashiba kwa kumuweka mbowe ndani haha kichaa wetu kapamba a mtotoAkawape ushirikiano mapolisi asilete ujuaji kama mmiliki wa gazeti!
Hatujaona wakichunguza chochote kwa punguwani musiba polisi wa Tanzania ni robot hakuna uchunguzi wala nini watakelezakile jiwe anatakani wajibu wa polisi kufanya kufanya uchunguzi au upelelezi kwa yeyote,....
.popote.
tutiii sheria bila shuruti
hisia zako tu hizoHii nchi ya ajabu sana, gazeti la Tanzania Daima, ambalo linaandika habari serious na za kiuchunguzi ndilo ambalo kila Siku linapata misukosuko!
Lakini gazeti la Tanzanite ambalo ni bimgwa wa kuandika habari za "uzushi" na porojo llemyewe lipo tu mitaani likiendelea na shighuli zake kama kawaida!
Musiba yupo kwaajili ya kazi maalumu....Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Martin Malera, ameitwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa mahojiano kuhusiana na habari ziliozandikwa kwenye gazeti hilo kuhusu tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mo Dewji. Katibu wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Neville Meena, amethibitisha na kusema wanafuatilia kwa karibu. #MtwnzaniaDigital
My take:
Wakuu hivi kumbe gazeti la musiba huwa linaandika mambo ya kweli? Kwa nini huwa hawafanyiwi kazi wale watu ambao linawamulika kwa matendo yao maovu yanayozua taharuki miongoni mwa wanajamii?
Kwa hiyo tumechagua kupuuza taarifa za musiba hazina madhara kwa Taifa?
Mbn musiba haitwagi kumhoji wa
Nijibu tafazali?
Ova
Huyu mupe yure murukeMhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Martin Malera, ameitwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa mahojiano kuhusiana na habari ziliozandikwa kwenye gazeti hilo kuhusu tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mo Dewji. Katibu wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Neville Meena, amethibitisha na kusema wanafuatilia kwa karibu. #MtwnzaniaDigital
My take:
Wakuu hivi kumbe gazeti la musiba huwa linaandika mambo ya kweli? Kwa nini huwa hawafanyiwi kazi wale watu ambao linawamulika kwa matendo yao maovu yanayozua taharuki miongoni mwa wanajamii?
Kwa hiyo tumechagua kupuuza taarifa za musiba hazina madhara kwa Taifa?
Umeshawaza kama pengine bado katekwa kimtindo?ulimboka?roma?nahisi wako under duress!Mo hata kuja kusema jamani nilienda hapa nikapita hivi na kufika kule hakuna!!!
Kila mtu akitekwa ajililie mwenyewe.
Ni afadhali siku hizi wanaitwa polisi, huko kuna usalama kidogo kuliko kuchukuliwa home, kazini ama njiani na watu wasiojulikana na kupelekwa kusikojulikana kwa kosa lisilojulikana.....Tumepata taarifa za Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima, Martin Malera kuitwa Polisi - Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuhusiana na habari ambazo ziliandikwa na gazeti lake wakati wa tukio la kutekwa Mo Dewji. Tunafuatilia kwa karibu!
View attachment 965585