radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,253
Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Martin Malera, ameitwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa mahojiano kuhusiana na habari ziliozandikwa kwenye gazeti hilo kuhusu tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mo Dewji. Katibu wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Neville Meena, amethibitisha na kusema wanafuatilia kwa karibu. #MtwnzaniaDigital
My take:
Wakuu hivi kumbe gazeti la musiba huwa linaandika mambo ya kweli? Kwa nini huwa hawafanyiwi kazi wale watu ambao linawamulika kwa matendo yao maovu yanayozua taharuki miongoni mwa wanajamii?
Kwa hiyo tumechagua kupuuza taarifa za musiba hazina madhara kwa Taifa?
My take:
Wakuu hivi kumbe gazeti la musiba huwa linaandika mambo ya kweli? Kwa nini huwa hawafanyiwi kazi wale watu ambao linawamulika kwa matendo yao maovu yanayozua taharuki miongoni mwa wanajamii?
Kwa hiyo tumechagua kupuuza taarifa za musiba hazina madhara kwa Taifa?