Mfumo wa usambazaji fiber (mkonga ) TTCL umekosa plan japo wana huduma nzuri ya internet

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
8,649
17,979
Katika shirika ambalo kampuni za simu nyingi utumia kama shamba la bibi ni TTCL.

Ukija kwenye huduma za fiber yani hawana tofauti na Shirika la maji na mabomba yao kwenye usambazaji.

Kunapotokea njia ndefu za kupeleka fiber yani ni kama zimewekwa tu kupeleka huduma.

Ili linawakumba sana inapotekea kuna uchimbaji wa barabara au majanga ya mvua na uharibifu unaotokana shuguli za binadamu.

Usambazaji wa fiber ni wa ovyo sana yani umeshindwa kuwa mpangilio mzuri wa kupeleka huduma zinapofika.

Kwa nini wasishirikiane kufumua fiber ziwe zinatumia njia ya mistimu ya umeme na grade kubwa za umeme kuliko kutumia kuzika chini kesho watu wamaji wakija wanajua ni kijibomba chao.
 
Katika shirika ambalo kampuni za simu nyingi utumia kama shamba la bibi ni TTCL.

Ukija kwenye huduma za fiber yani hawana tofauti na Shirika la maji na mabomba yao kwenye usambazaji.

Kunapotokea njia ndefu za kupeleka fiber yani ni kama zimewekwa tu kupeleka huduma.

Ili linawakumba sana inapotekea kuna uchimbaji wa barabara au majanga ya mvua na uharibifu unaotokana shuguli za binadamu.

Usambazaji wa fiber ni wa ovyo sana yani umeshindwa kuwa mpangilio mzuri wa kupeleka huduma zinapofika.

Kwa nini wasishirikiane kufumua fiber ziwe zinatumia njia ya mistimu ya umeme na grade kubwa za umeme kuliko kutumia kuzika chini kesho watu wamaji wakija wanajua ni kijibomba chao.
Ttcl is a pool of idiots. I had an issue with my landline phone, and decided to visit their office, no-one a solution. Nimeachana nao
 
Back
Top Bottom