Kwani lazima kila kitu wachangie?? Wakati mwingine wanapita tu.Uzii huu nililetaaa hamjachangiaa kaleta MTU mwingine kama huu huu mmechangiaa au mlizidiwa Na Ya Zanzibar au ndo niwaeleweje..Roho imeniuma saana.
huku kwetu wanagawa elfu 47 kima cha juuKwani lazima kila kitu wachangie?? Wakati mwingine wanapita tu.
Pole lakini
Mkuuu kiufupi wenyewe wnadai mbinu ilowahi kujaribiwa nchini mexico na Brazil na ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa ndio.kwa sasa unajaribiwa Tz nadhani na malawi kwa Africa lakini tena wanachogawiwa ni elfu34000kwa muda we miezi2 kwa style hii sidhani kama umaskini utashukaIvi jamani naombeni ufafanuzi Ni kweli huo mfuko wa TASSAF Ni sawa kwa kugawa Elfu 67,kwa kila kaya masikini kwa awamu.Jee msaada huoo utamaliza Shida za hizo Kayaa?Au wangetafutiwa Matrekta Na mashamba wataalamu Wa kilimo.Na pia Soko mzuri..Maana.katika Utafiti wangu nimegunduaa bado kaya holizoo hazibadiliki kwa Maana ya kutoka hatua moja kwenda nyinginee..Elfu 67 hata kama wahusika watapewa awamu 5 si zitaishia kununua ungaa Na matumizi madogo?pengine kwa kutumiaa uzii huu tutor mapendekezo zaidi ya kuweza kuwasaidia Kaya masikini mbali Na ya kilimoo nilichopendeleza pia tukumbuke licha ya haoo Ndugu zetu wanaoitwa Kaya masikini wana nguvu zao Na Afya.Naomba kwa pamoja tujadili Nina uhakikaa watendaji wanapitia Na kuchangiaa hapa huenda wakatambua ile msemo usemao..usimpe MTU Samaki Bali MPE Ndoano avue mwenyewe hata siku haupo ajitegemee.
Hilo linadhihirisha uwezo wa kufikiri wa baadhi ya viongozi wetu, mtu anakuja kijijini na kufanya tathmini ili kubaini kaya maskini na kuwapatia fedha ati wapunguze umaskini. Mtu anasahau kwamba kila mtu anapenda fedha, hata hao TASAF wenyewe wanapenda fedha na ndiyo maana wapo hapo. Mbona hata siku moja hawatuelezi malengo ya mradi huo na mafanikio yake kama yapo, mara utasikia hata wajumbe wa serikali ya kijiji ati nao ni walengwa, AIBU. Mtu analala kesho asubuhi anaamka anapanga foleni anapewa fedha anaondoka zake, zikiisha anakuja tena anapanga foleni anachukua fedha anaondoka zake mradi gani huu na mwisho wake ni nini. Hakuna popote duniani ambapo watu wazima na afya zao wanapanga foleni kugawiwa fedha kwa sababu tu wanatoka familia maskini. AIBUIvi jamani naombeni ufafanuzi Ni kweli huo mfuko wa TASSAF Ni sawa kwa kugawa Elfu 67,kwa kila kaya masikini kwa awamu.Jee msaada huoo utamaliza Shida za hizo Kayaa?Au wangetafutiwa Matrekta Na mashamba wataalamu Wa kilimo.Na pia Soko mzuri..Maana.
katika Utafiti wangu nimegunduaa bado kaya holizoo hazibadiliki kwa Maana ya kutoka hatua moja kwenda nyinginee..Elfu 67 hata kama wahusika watapewa awamu 5 si zitaishia kununua ungaa Na matumizi madogo?pengine kwa kutumiaa uzii huu tutor mapendekezo zaidi ya kuweza kuwasaidia Kaya masikini mbali Na ya kilimoo nilichopendeleza pia tukumbuke licha ya haoo Ndugu zetu wanaoitwa Kaya masikini wana nguvu zao Na Afya.
Naomba kwa pamoja tujadili Nina uhakikaa watendaji wanapitia Na kuchangiaa hapa huenda wakatambua ile msemo usemao..usimpe MTU Samaki Bali MPE Ndoano avue mwenyewe hata siku haupo ajitegemee.
Watu hawakuchangia kwa kuwa wewe umesema TASSAF, hivyo hiyo makitu imekuwa mpya kwao lakini kule walikochangia ni kwa vile wao walisema TASAF na ndio kitu inayofahamika kwa wengi!Uzii huu nililetaaa hamjachangiaa kaleta MTU mwingine kama huu huu mmechangiaa au mlizidiwa Na Ya Zanzibar au ndo niwaeleweje..Roho imeniuma saana.
Ahaha lengo ni maeneo ya uwekezaji hela sio kodi ya mwanachi ni pesa ya mchina ngoja uone picha kwan umesaau ya mkuu ukitaka kula lazima uliweWizi mtupu...ilipaswa hao walengwa wapewe mileage au malengo yafikia kwa muda Fulani...na wapewe close supervision kama siyo mentoring...otherwise ni kujidanganya