Alez von lumor
JF-Expert Member
- Nov 4, 2023
- 516
- 1,474
makapuku kama mimi ambao sikukuu ya leo tutakula ugali, dagaa mchele na soda baridi
πππleo tutakula ugali, dagaa mchele na soda baridi
Sure mkuuπtuvipe heshima vyakula vyetu vya kila siku. Pilau na kuku ni vyakula vya msimu tu wala sio ufahari.
Merry XMAS to u all.
Enjoy mkuuSure mkuuπ
LikewiseEnjoy mkuu
Nikazie au??Leo ni jumatatu tarehe 25/12/2023.
Kula hivyo ulivyolist sio ukapuku mkuu, tuvipe heshima vyakula vyetu vya kila siku. Pilau na kuku ni vyakula vya msimu tu wala sio ufahari.
Merry XMAS to u all.
Sure!Leo ni jumatatu tarehe 25/12/2023.
Kula hivyo ulivyolist sio ukapuku mkuu, tuvipe heshima vyakula vyetu vya kila siku. Pilau na kuku ni vyakula vya msimu tu wala sio ufahari.
Merry XMAS to u all.
Ndio hivyo mkuu tusivishushe vyakula vinavyotupa nguvu ya kufanya kazi kila siku na kwa unafuu.Sure!
Hata hizi makuku na mapilau tunapigaga sometimes tukipenda
Kazia mkuu hakuna namna ndio mahala pakeNikazie au??
Kabisa mi nashangaa dune Zima linawaza pilau na nyama eti kisa sikukuu mi hayo mambo nimewaachia watoto wanguNdio hivyo mkuu tusivishushe vyakula vinavyotupa nguvu ya kufanya kazi kila siku na kwa unafuu.
Asante mkuu ugali dagaa unanitoshaAsante kwa salamu za Christmas Mkuu.
Kwa niaba ya Bibi yenu na Mimi mwenyewe, tunapenda kuwakaribisha wewe pamoja na jamaa zako nyumbani kwaajili ya kufurahia pamoja sikukuu hii.
Kama kawaida ya sisi Wazee pamoja na uwepo wa chakula lakini Togwa na Mbege pia vipo. Bila kusahau Tumbaku kwaajili ya Kuvuta Kiko π€
Merry Christmas to you all π
Kabisa mi nashangaa dune Zima linawaza pilau na nyama eti kisa sikukuu mi hayo mambo nimewaachia watoto wangu
Lunch ya nguvu ninayowaza Leo ni ugali mnafu na maziwa mtindi
Ndio viko akilini
Amen!πMaombi yangu yaende kwenye nchi zote zenye vita ulimwenguni....Mwenyezi Mungu akafanye njia pasipo na njia