Mechi ya Tabora United vs Simba huwa kuna upangaji matokeo ya wazi

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
8,026
18,804
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Soma Pia RC Chacha aahidi milioni 50 kwa Tabora United ikiilaza Simba SC


Tunawaomba TFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Tunawaomba tFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Mkuu bado upo Ngara???
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Tunawaomba tFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Fuvu linafanyakazi wakishinda mchezo yaani ana akili za kutoa pesa za ushindi tu lakini siyo kutatua matatizo ya wachezaji
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Tunawaomba tFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Mwamedi kisha tembeza.mlungula
 
Twambie yafuatayo:
1. Milioni 20 ni vibali vya wachezaji wangapi na wao wanadaiwa usajili wa wachezaji wangapi?
2. Mkuu wa mkoa wa Tabora ana cheo gani kwenye timu hadi alipe gharama?
3. Rage ana cheo gani Tabora United
4. Mechi ya mzunguko wa kwanza Tabora United ilicheza na wachezaji pungufu. Walicheza wangapi?
5. Simba inahusikaje na Tabora kushindwa kulipia vibali vya kazi
6. Mbona mechi ya Azam na Tabora wachezaji walikuwa pungufu?
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Tunawaomba tFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Huu mchezo mchafu unachezwa na bodi ya ligi na hata waamuzi wanachezesha mechi za Simba 80% ni wanawake
Cha ajabu utashangaa Tabora wanapomaliza tu game ya Simba wiki ijayo vibali na lesen vimeshapatikana, huu uhuni wa kitoto🤣🤣
 
Back
Top Bottom