stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 427
- 796
sisi mlituambia tutunze tiketi huku bara itakuwaje sasa
Kwa hiyo sie tuliolipa hela zetu sasa wanaturudishiaje?
Huyuu tunampa kibwana shomari adili nae.
Iulize serikali yako, imepeleka wapi zile B30 za kuukarabati uwanja wa Mkapa, hilo siyo kosa la Simba wala TFF wala bodi ya ligisisi mlituambia tutunze tiketi huku bara itakuwaje sasa
Atapasuka mapafu dogo wa Nzega yule hana ubavu huoHuyuu tunampa kibwana shomari adili nae.
Taarifa ya uongo hiyoTarehe nane simba wana mechi na pamba, na tarehe kumi na moja simba wana mechi na kmc, kwa mujibu wa ratiba ya sasa nbcpl sasa sijui hapo itakuwaje tena
Duuu sijui mm nmekuta FacebookTaarifa ya uongo hiyo