johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 90,024
- 156,163
Mchungaji Lusekelo amesema kama ambavyo Biblia imeagiza Watu walipe Kodi kwa Serikali vivyo hivyo imeagiza Waumini kutokwenda Mikono mitupu Makanisani
Mzee wa Upako amesisitiza kuwa Kutoza Sadaka ni swala la Makubaliano na Kiimani pia hivyo liheshimiwe
Source: WASAFI FM
Jumaa Mubarak ๐๐๐
Mzee wa Upako amesisitiza kuwa Kutoza Sadaka ni swala la Makubaliano na Kiimani pia hivyo liheshimiwe
Source: WASAFI FM
Jumaa Mubarak ๐๐๐