Tuta Absoluta Kantangaze
Member
- Nov 2, 2023
- 74
- 247
André-Frank Zambo Anguissa (ANGWISA) Nimeukumbuka huu wimbo wa muimbaji mmoja aliimba alikuwa anasema Angwisa....na huyu mchezaji naona kabisa ni mnyaki sijui wa Kyela,Tukuyu au Mbozi. Mi sijui.
Hawa ndo mngewarudisha na kuwapa uraia. Zamani naambiwa alikuwapo mnaijeria mmoja wa Kinyakyusa Emmanuel Amunike. Simba wanamchezaji mmoja mhaya somebody Mutalemwa.
Hawa ndo mngewarudisha na kuwapa uraia. Zamani naambiwa alikuwapo mnaijeria mmoja wa Kinyakyusa Emmanuel Amunike. Simba wanamchezaji mmoja mhaya somebody Mutalemwa.