Mcheza kamali na ahadi ya kuacha kamali

sajumo

JF-Expert Member
Nov 20, 2013
1,834
1,056
Mm ni miongon mwa watu wanaomini kamali Ina shetani mbaya Sana ambaye huyakontrol maisha ya wachezaji kamali.
Siku moja mcheza kamali mmoja alicheza kamali akaliwa hela .mpaka ya kula akalala na njaa ilhali alikua na hela nying tu siku ya pili akaja akiwa amekasilika akaniambia mm kamali naacha nkamwambia wewe nnayekujua mm huwez akanambia na acha Kama unabisha tuweke dau nkamuuliza sh ngapi ngapi akajibu alfu hamsini akatia mkono mfukon akaanza kutoa pesa
Hapa nkagundua huyu MTU Ana kamaliasyndrom



Sent from my RIDGE 4G using JamiiForums mobile app
 
sio wote lakini mkuu
Mkuu Jose Kama kweli huyu alikua ana mpango Wa kuacha kicheza kamali iweje aniambie tucheze kamali Kama anaweza au hawez Kama tunaandikishiana s ningempuna maana amesma hachez tena

Sent from my RIDGE 4G using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Jose Kama kweli huyu alikua ana mpango Wa kuacha kicheza kamali iweje aniambie tucheze kamali Kama anaweza au hawez Kama tunaandikishiana s ningempuna maana amesma hachez tena

Sent from my RIDGE 4G using JamiiForums mobile app
Hahah daaah imemkaa damuni nini??
 
Mm ni miongon mwa watu wanaomini kamali Ina shetani mbaya Sana ambaye huyakontrol maisha ya wachezaji kamali.
Siku moja mcheza kamali mmoja alicheza kamali akaliwa hela .mpaka ya kula akalala na njaa ilhali alikua na hela nying tu siku ya pili akaja akiwa amekasilika akaniambia mm kamali naacha nkamwambia wewe nnayekujua mm huwez akanambia na acha Kama unabisha tuweke dau nkamuuliza sh ngapi ngapi akajibu alfu hamsini akatia mkono mfukon akaanza kutoa pesa
Hapa nkagundua huyu MTU Ana kamaliasyndrom



Sent from my RIDGE 4G using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mkacheza kamari

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom