Pre GE2025 Mchengerwa: Gambo hakushiriki kikao lakini posho alichukua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,498
7,065
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa, leo amefichua kuwa malumbano ya kiuongozi katika utekelezaji wa mradi mmoja yalikwamisha maendeleo kwa kipindi kirefu hadi pale Waziri Mkuu alipoingilia kati mwaka 2023.

Akizungumza mbele ya Bunge, Waziri Mchengerwa amesema:

"Malumbano hayo yalipelekea mradi kusimama kwa muda mrefu mpaka mwaka 2023 baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kuingilia kati na baadhi ya watumishi kushtakiwa. Kamati ya Fedha, mbunge alikuwa ni mjumbe wa Kamati ya Fedha wakati huo, hakushiriki kikao husika kwa ruhusa lakini posho alichukua..."

Soma, Pia: Spika Dkt. Tulia awapeleka Gambo na Mchengerwa kamati ya Maadili, mvutano watokea Bungeni

 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa, leo amefichua kuwa malumbano ya kiuongozi katika utekelezaji wa mradi mmoja yalikwamisha maendeleo kwa kipindi kirefu hadi pale Waziri Mkuu alipoingilia kati mwaka 2023.

Akizungumza mbele ya Bunge, Waziri Mchengerwa amesema:

"Malumbano hayo yalipelekea mradi kusimama kwa muda mrefu mpaka mwaka 2023 baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kuingilia kati na baadhi ya watumishi kushtakiwa. Kamati ya Fedha, mbunge alikuwa ni mjumbe wa Kamati ya Fedha wakati huo, hakushiriki kikao husika kwa ruhusa lakini posho alichukua..."

Kama waziri mwenye dhamana anasema haya, sisi wengine tutafanyaje? Njia ni kumfungulia kesi ili haki ipatikane
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa, leo amefichua kuwa malumbano ya kiuongozi katika utekelezaji wa mradi mmoja yalikwamisha maendeleo kwa kipindi kirefu hadi pale Waziri Mkuu alipoingilia kati mwaka 2023.

Akizungumza mbele ya Bunge, Waziri Mchengerwa amesema:

"Malumbano hayo yalipelekea mradi kusimama kwa muda mrefu mpaka mwaka 2023 baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kuingilia kati na baadhi ya watumishi kushtakiwa. Kamati ya Fedha, mbunge alikuwa ni mjumbe wa Kamati ya Fedha wakati huo, hakushiriki kikao husika kwa ruhusa lakini posho alichukua..."

Soma, Pia: Spika Dkt. Tulia awapeleka Gambo na Mchengerwa kamati ya Maadili, mvutano watokea Bungeni

Gambo naye ni wale wale.Naona Jimbo linaenda kwa Makonda mapema kabisa.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa, leo amefichua kuwa malumbano ya kiuongozi katika utekelezaji wa mradi mmoja yalikwamisha maendeleo kwa kipindi kirefu hadi pale Waziri Mkuu alipoingilia kati mwaka 2023.

Akizungumza mbele ya Bunge, Waziri Mchengerwa amesema:

"Malumbano hayo yalipelekea mradi kusimama kwa muda mrefu mpaka mwaka 2023 baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kuingilia kati na baadhi ya watumishi kushtakiwa. Kamati ya Fedha, mbunge alikuwa ni mjumbe wa Kamati ya Fedha wakati huo, hakushiriki kikao husika kwa ruhusa lakini posho alichukua..."

Soma, Pia: Spika Dkt. Tulia awapeleka Gambo na Mchengerwa kamati ya Maadili, mvutano watokea Bungeni


..Mh.Mchengerwa anatakiwa akajifunze kusoma.

..Waziri hatakiwi kusoma taarifa hovyohovyo kama anavyofanya Mh.Mchengerwa.
 
MAKONDA
1000416374.jpg
 
Kwa mambo yanavyoonekana wazi sasa hivi aliye karibu na Gambo amshauri tu kama ana nia ya kugombea tena ubunge Arusha abadili tu gia angani asitumie hata senti moja kuanzia sasa kujaribu kuutafuta ubunge. Badala yake posho zote na kiinua mgongo awekeze kwenye miradi mbali mbali zitamsaidia huko mbele ya safari. Hata kama hasikii hata picha haoni?
 
Kwa mambo yanavyoonekana wazi sasa hivi aliye karibu na Gambo amshauri tu kama ana nia ya kugombea tena ubunge Arusha abadili tu gia angani asitumie hata senti moja kuanzia sasa kujaribu kuutafuta ubunge. Badala yake posho zote na kiinua mgongo awekeze kwenye miradi mbali mbali zitamsaidia huko mbele ya safari. Hata kama hasikii hata picha haoni?
Hii ni safi sana. Ma-fisi-em yanakulana yenyewe kwa wenyewe. Huyu Gambo kuna kipindi alikuwa anatesa wapinzani sana, leo yamemkuta. Kila siku wanaambiwa wapiganie mabadiliko ili kundoa umungu mtu wa rais na kuwe na utawala bora lakini wanakataa.
 
Moja kati ya waziri wa hovyo ni huyo mchengerwa

Huyu ndo katufikisha hapa tulipo kwenye sakata la uchaguzi, asingefanya ujinga kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa watu wangekua wanajiandaa kuingia kwenye uchaguzi
 
Back
Top Bottom