Pre GE2025 Mchengerwa amshukia Gambo "Tuhuma zake ni za Uongo"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Inside10

JF-Expert Member
May 20, 2011
30,681
34,080
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa ameeleza kuwa tuhuma zilizoibuliwa na Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo wakati wa mjadala wa bajeti ya wizara yake ni tuhuma za uongo na zisizokuwa na uthibitisho, akieleza kuwa hakuna fedha iliyopotea ama kuibiwa katika utekelezaji wa ujenzi wa jengo la Utawala la Halmashauri ya Arusha Jiji.

Soma Pia: Gambo aibua tuhuma za ufisadi wa mabilioni Arusha, Spika Tulia amwagiza Mchengerwa kuandaa ripoti iwasilishwe Bungeni

Mchengerwa amebainisha hayo mara baada ya kufuata maelekezo ya Spika Tulia Ackson aliyemtaka kufanya uchunguzi kuhusu tuhuma hizo zilizowasilishwa na Mhe. Gambo ambapo Mchengerwa ameeleza kuwa tuhuma hizo ni tuhuma zisizokuwa na mzizi, zisizokuwa na hoja, akiziita kama cheche za siasa ambazo hazifai ndani ya taasisi zenye misingi ya kisheria.

 
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa ameeleza kuwa tuhuma zilizoibuliwa na Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo wakati wa mjadala wa bajeti ya wizara yake ni tuhuma za uongo na zisizokuwa na uthibitisho, akieleza kuwa hakuna fedha iliyopotea ama kuibiwa katika utekelezaji wa ujenzi wa jengo la Utawala la Halmashauri ya Arusha Jiji.

Soma, Pia: Gambo aibua tuhuma za ufisadi wa mabilioni Arusha, Spika Tulia amwagiza Mchengerwa kuandaa ripoti iwasilishwe Bungeni

Mchengerwa amebainisha hayo mara baada ya kufuata maelekezo ya Spika Tulia Ackson aliyemtaka kufanya uchunguzi kuhusu tuhuma hizo zilizowasilishwa na Mhe. Gambo ambapo Mchengerwa ameeleza kuwa tuhuma hizo ni tuhuma zisizokuwa na mzizi, zisizokuwa na hoja, akiziita kama cheche za siasa ambazo hazifai ndani ya taasisi zenye misingi ya kisheria.
 
Mkwe ameamua kumlinda mama mkwe asichafuke kwa kuonekana ameshindwa kuudhibiti ufisadi.

Mkwe Kaona bora amkaange mbunge Gambo.

Hii ni serikali inayolea mafisadi. Mafisadi yako kwenye comfort zone ktk awamu ya huyu mzanzibari mwanamke.
 
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa ameeleza kuwa tuhuma zilizoibuliwa na Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo wakati wa mjadala wa bajeti ya wizara yake ni tuhuma za uongo na zisizokuwa na uthibitisho, akieleza kuwa hakuna fedha iliyopotea ama kuibiwa katika utekelezaji wa ujenzi wa jengo la Utawala la Halmashauri ya Arusha Jiji.

Soma Pia: Gambo aibua tuhuma za ufisadi wa mabilioni Arusha, Spika Tulia amwagiza Mchengerwa kuandaa ripoti iwasilishwe Bungeni

Mchengerwa amebainisha hayo mara baada ya kufuata maelekezo ya Spika Tulia Ackson aliyemtaka kufanya uchunguzi kuhusu tuhuma hizo zilizowasilishwa na Mhe. Gambo ambapo Mchengerwa ameeleza kuwa tuhuma hizo ni tuhuma zisizokuwa na mzizi, zisizokuwa na hoja, akiziita kama cheche za siasa ambazo hazifai ndani ya taasisi zenye misingi ya kisheria.

😂😂 huyu hata serikali za mitaa atasema tuhuma za uongo. Wenyewe ndiyo wezi kama yule wa ujenzi hakusema walikuwa wanataka kuwapa wa Oman wa Mama airport ya Kia akawa anawazungusha bunge hivi hivi
 
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa ameeleza kuwa tuhuma zilizoibuliwa na Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo wakati wa mjadala wa bajeti ya wizara yake ni tuhuma za uongo na zisizokuwa na uthibitisho, akieleza kuwa hakuna fedha iliyopotea ama kuibiwa katika utekelezaji wa ujenzi wa jengo la Utawala la Halmashauri ya Arusha Jiji.

Soma Pia: Gambo aibua tuhuma za ufisadi wa mabilioni Arusha, Spika Tulia amwagiza Mchengerwa kuandaa ripoti iwasilishwe Bungeni

Mchengerwa amebainisha hayo mara baada ya kufuata maelekezo ya Spika Tulia Ackson aliyemtaka kufanya uchunguzi kuhusu tuhuma hizo zilizowasilishwa na Mhe. Gambo ambapo Mchengerwa ameeleza kuwa tuhuma hizo ni tuhuma zisizokuwa na mzizi, zisizokuwa na hoja, akiziita kama cheche za siasa ambazo hazifai ndani ya taasisi zenye misingi ya kisheria.

Mjinga huyu, Mnajenga jengo la utawala jipya ili iweje? kwa faida ya nanu kama sio ipigaji?
 
Mkwe kiburi kimemuingia sana kwenye damu kwa sasa, Jamaa was very smart before
ila Hajui yeye bado ana Muda mrefu sana kwenye Siasa kwanini anapandisha Mabega ivi?
 
Back
Top Bottom