Ni akiongea katika kipindi cha dk45 itv amesema ameikubali approach yake ya kupambana na ugaidi na amekuwa akimshirikisha kila hatu na wanaodhani amehongwa basi wamechoka kufikiri.
Ni akiongea katika kipindi cha dk45 itv amesema ameikubali approach yake ya kupambana na ugaidi na amekuwa akimshirikisha kila hatu na wanaodhani amehongwa basi wamechoka kufikiri.
Ni akiongea katika kipindi cha dk45 itv amesema ameikubali approach yake ya kupambana na ugaidi na amekuwa akimshirikisha kila hatu na wanaodhani amehongwa basi wamechoka kufikiri.
WEWE MBONA NI KM UMEKURUPUKA TOKA KT FUMANIZI?? UMEKAA KAA KISHARI MDA WOTE.. NJOO UWAOKOE WEZI WENZIO WA ESCROW MIKUTANI YENU MINGI MKIITISHA MIKUTANO WANAISHIA KUHIAIRISHA KWAN MWITIKIO NI FINYU. JIANDAENI KUIBA KURA KM KAWAIDA YENu
Sasa nani kasema siasa ni kupinga kila kitu hata kama unaona kiko vyema. Kama kuna jambo jema limefanyika lazima lisemwe na kama kuna hila na uovu haupaswi kunyamaziwa kamwe.
Yaani katika mazungumzo yale,hasa juu ya visionary leadership inayohitajika nchini wewe kilichokugusa ni kukubaliana na approach ya utendaji kazi wa mtu.
Alafu bado tunabakia na nguvu za kuisukumia lawama zoote ccm