Pre GE2025 Mbunge wa Handeni Mjini: Tunautaka umeme wa Ethiopia, hata Marekani wananunua umeme kutokea nje

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
2,072
5,468
Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini (CCM) Mhe. Kwagilwa Rubeni, amesema kuwa wabunge na wananchi wa ukanda wa kaskazini wanaunga mkono uamuzi wa serikali wa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani baadhi ya maeneo ya kanda hiyo hayana vyanzo vya kutosha vya umeme.

Akizungumza na wanahabari leo, Machi 16, 2025, jijini Dodoma, Mhe. Rubeni amesema kuwa wanaopinga mpango huo hawana uelewa wa hali halisi ya mahitaji ya nishati nchini. Amebainisha kuwa Tanzania si nchi ya kwanza kununua umeme kutoka nje, akitaja mifano ya mataifa kama Marekani, India, Afrika Kusini, na Kenya, ambayo pia hununua na kuuza umeme kwa nchi jirani kutokana na jiografia na mahitaji yao ya nishati.

Amesema kuwa mpango huu utaimarisha upatikanaji wa umeme kwa maeneo yanayokabiliwa na changamoto za nishati na kuchochea maendeleo ya kiuchumi.


 
Mbona pato la raia wa USA ni kubwa kuliko la Tanzania, hawasemi tunataka Pato la Mtanzania liwe kama USA, mbona hatufanyi huduma za Afya na miundo mbinu yetu iwe sawa na ya USA?
Mbona hawa wabunge hawapiganii mfumo wa elimu uwe kama ule wa USA?
 
Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini (CCM) Mhe. Kwagilwa Rubeni, amesema kuwa wabunge na wananchi wa ukanda wa kaskazini wanaunga mkono uamuzi wa serikali wa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani baadhi ya maeneo ya kanda hiyo hayana vyanzo vya kutosha vya umeme.

Akizungumza na wanahabari leo, Machi 16, 2025, jijini Dodoma, Mhe. Rubeni amesema kuwa wanaopinga mpango huo hawana uelewa wa hali halisi ya mahitaji ya nishati nchini. Amebainisha kuwa Tanzania si nchi ya kwanza kununua umeme kutoka nje, akitaja mifano ya mataifa kama Marekani, India, Afrika Kusini, na Kenya, ambayo pia hununua na kuuza umeme kwa nchi jirani kutokana na jiografia na mahitaji yao ya nishati.

Amesema kuwa mpango huu utaimarisha upatikanaji wa umeme kwa maeneo yanayokabiliwa na changamoto za nishati na kuchochea maendeleo ya kiuchumi.


Na uwezo wa kufikiri wa viongozi wetu KUTAFUTA suluhu ya muda mfupi hawawezi kuumiza vichwa kutafuta suluhu ya kudumu
 
Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini (CCM) Mhe. Kwagilwa Rubeni, amesema kuwa wabunge na wananchi wa ukanda wa kaskazini wanaunga mkono uamuzi wa serikali wa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani baadhi ya maeneo ya kanda hiyo hayana vyanzo vya kutosha vya umeme.

Akizungumza na wanahabari leo, Machi 16, 2025, jijini Dodoma, Mhe. Rubeni amesema kuwa wanaopinga mpango huo hawana uelewa wa hali halisi ya mahitaji ya nishati nchini. Amebainisha kuwa Tanzania si nchi ya kwanza kununua umeme kutoka nje, akitaja mifano ya mataifa kama Marekani, India, Afrika Kusini, na Kenya, ambayo pia hununua na kuuza umeme kwa nchi jirani kutokana na jiografia na mahitaji yao ya nishati.

Amesema kuwa mpango huu utaimarisha upatikanaji wa umeme kwa maeneo yanayokabiliwa na changamoto za nishati na kuchochea maendeleo ya kiuchumi.


Kwani lazima kila kitu tujilinganishe na marekani?
 
hivi mbona maraisi wa nchi nyingine wakifanya ziara tanzagiza huwa hawaingii mikataba na tanzagiza lkn kila tanzagiza ikifanya ziara nje na kupewa red carpet wanaingia mikataba ya kinyonyaji? tuliona india, korea, kenya na juzi tanzagiza ilifanya ziara ethiopia tayari mikataba ikasainiwa, mbona wao wakija huku hawasaini hiyo mikataba against their countries ili tufaidike?
 
Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini (CCM) Mhe. Kwagilwa Rubeni, amesema kuwa wabunge na wananchi wa ukanda wa kaskazini wanaunga mkono uamuzi wa serikali wa kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya, kwani baadhi ya maeneo ya kanda hiyo hayana vyanzo vya kutosha vya umeme.

Akizungumza na wanahabari leo, Machi 16, 2025, jijini Dodoma, Mhe. Rubeni amesema kuwa wanaopinga mpango huo hawana uelewa wa hali halisi ya mahitaji ya nishati nchini. Amebainisha kuwa Tanzania si nchi ya kwanza kununua umeme kutoka nje, akitaja mifano ya mataifa kama Marekani, India, Afrika Kusini, na Kenya, ambayo pia hununua na kuuza umeme kwa nchi jirani kutokana na jiografia na mahitaji yao ya nishati.

Amesema kuwa mpango huu utaimarisha upatikanaji wa umeme kwa maeneo yanayokabiliwa na changamoto za nishati na kuchochea maendeleo ya kiuchumi.


Akili kisoda..... Harudi aache kujipendekeza
 
Back
Top Bottom