INGEKUWA Hizo Hbr Zinahusu CCM, VIONGOZI Wake Na SERIKALI Yake!! KESHO Tu Tungemsikia Nape Akitangaza Kulifuta Hilo Gazeti Faster!!! LKN Wanaandika Hbr Ambazo Zina TIJA Kwao, Wako Kimyaa!! MAANA Magazeti Ya RAIA MWEMA, TANZANIA, UHURU, MZALENDO, HABARI LEO Na DAILY NEWS!! TOKEA Wkt Wa KAMPENI Za UCHAGUZI Mkuu Na Kipindi Cha Matokeo, Yalijidhihirisha Kwa Upande Walioko!!!! HIVYO Hivi Sasa WANAENDELEZA Pale Walipoishia Tu!!! HATA Aibu Hawaoni, Kuandika SAID AFFI Kama Mbunge, Ni UMBUMBUMBU Wa Kupitiliza, Haya WATUAMBIE Ni MWAKILISHI Wa Jimbo Gani, Au VITI MAALUM Wa CHAMA Gani!!?? WAANDISHI Kanjanja Au Wanavyoteseka Kwa Kununuliwa Na Wanaowachagulia HBR Za KUANDIKA!!! WANAJITOA Ufahamu Kiasi Cha KUPOTOSHA Umma Wa WATANZANIA, Kama SAID AFFI Ni MWANACCM!!! NA Uchaguzi Ulishafanyika Na SAID AFFI Hata Huko CCM Wamempiga CHINI!! SASA Kusema SAID AFFI Ni Mbunge Wa CHADEMA!! NI Kazi MAALUM, Ambayo Wametumwa Kuwapotosha Na Kuwatoa WATANZANIA Ktk HOJA Za Msingi Kwa Maslahi Ya TANZANIA!!! ILI Kuwafubaza Kwa Hoja Za UCHIZI Kama Hizi!!