Mbowe usihangaike na Dr. Slaa huko lupango mwache ahangaike na hali yake mwenyewe

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
16,397
22,358
Dr. Slaa amekuwa mropokaji kama Lissu na pia hana shukrani yoyote kwa Mbowe na CHAMA. Mheshimiwa Mbowe usipoteze muda na fedha zako kwa hawa watu tena waache wajipambanie wenyewe. Umekuwa muungwana mno kwao sasa wanakuona mjinga. Waache wapambane na hali zao!
 
Dr. Slaa amekuwa mropokaji kama Lissu na pia hana shukrani yoyote kwa Mbowe na CHAMA. Mheshimiwa Mbowe usipoteze muda na fedha zako kwa hawa watu tena waache wajipambanie wenyewe. Umekuwa muungwana mno kwao sasa wanakuona mjinga. Waache wapambane na hali zao!
Mzee mnafiki sana ,ndie alie sema anachukizwa na wanao sema Mbowe sio Gaidi, na maesahau aliwahi sema kupigwa risasi kwa Lisu ni tukio la kawaida sana lile
 
Dr. Slaa amekuwa mropokaji kama Lissu na pia hana shukrani yoyote kwa Mbowe na CHAMA. Mheshimiwa Mbowe usipoteze muda na fedha zako kwa hawa watu tena waache wajipambanie wenyewe. Umekuwa muungwana mno kwao sasa wanakuona mjinga. Waache wapambane na hali zao!
Haahaa uchawa kazi kwelikweli
 
Dr. Slaa amekuwa mropokaji kama Lissu na pia hana shukrani yoyote kwa Mbowe na CHAMA. Mheshimiwa Mbowe usipoteze muda na fedha zako kwa hawa watu tena waache wajipambanie wenyewe. Umekuwa muungwana mno kwao sasa wanakuona mjinga. Waache wapambane na hali zao!

Ni kawaida kwa manyani kuchekelea miti inapoungua
 
Haahaa uchawa kazi kwelikweli

GgorHp4XUAAE0_u.jpeg
 
Back
Top Bottom